Recent content by Ntaluke.N.

  1. Ntaluke.N.

    Kuzishindanisha shule kama Feza na Kitonga ni sahihi?

    Mfano wa timu sio halisi,Real madrid alifungwa na celta vigo,Arsenal na Warfod,Man u na Hull city,..pia usisahau Bingwa Wa EPL wa msimu uliopita.
  2. Ntaluke.N.

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kimya..
  3. Ntaluke.N.

    Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

    Topten form two kulikuwa na Shule inaitwa TWIBHOKI mkoani Mara..lakini hapa form four sijaiona topten samahani naomba mnisaidie kaangalia matokeo yake..
  4. Ntaluke.N.

    La Ultima Letra - (Tahadhari: Picha zilizomo zinaogofya)

    Pomaja sana mkuu the bold.
  5. Ntaluke.N.

    Mkutano wa AU: Ni kwanini Magufuli hajaruhusu Mkalimani aongee?

    Hebu mlete ambayo haijafanyiwa editing,Lumumba mnadai hii iliyopo ni edited.
  6. Ntaluke.N.

    Je kuna aliyechaguliwa chuo kupitia NACTE mwaka hakuripoti chuo na mwaka amekubaliwa kuapply upya?

    Kwahyo unaweza kuomba diploma badala ya certificate..Naomba univumilie kwa usumbufu.
  7. Ntaluke.N.

    Serikali kuanza kutaifisha mifugo itakayoingizwa maeneo yaliohifadhiwa

    Halafu Serikali itachungia wapi hiyo mifugo.
  8. Ntaluke.N.

    Je kuna aliyechaguliwa chuo kupitia NACTE mwaka hakuripoti chuo na mwaka amekubaliwa kuapply upya?

    Ukiamua kutumia matokeo ya advance yenye E chemistry, E,Biology na C geography au Hairuhusiwi?
  9. Ntaluke.N.

    Je kuna aliyechaguliwa chuo kupitia NACTE mwaka hakuripoti chuo na mwaka amekubaliwa kuapply upya?

    Diploma yoyote ya afya ya binadamu..lakini si mbaya pia ukitoa ushauri kulingana na huo ufaulu na uelewa wako kuhusu course za afya.
  10. Ntaluke.N.

    NACTE mlisema Leo mnafungua udahili mbona kimya

    Msaada tafadhali,aliyehitimu form four 2009 anaweza kuaply afya mwaka huu,form six 2012.
  11. Ntaluke.N.

    Je kuna aliyechaguliwa chuo kupitia NACTE mwaka hakuripoti chuo na mwaka amekubaliwa kuapply upya?

    Mtu aliyemaliza form four 2009 na form six 2012 anaruhusiwa ku-apply diploma ya afya matokeo yake mazuri tu.
Back
Top Bottom