Recent content by Ntakandi

  1. N

    Mbowe, Lissu, Mnyika na Marando ndani ya Kasulu leo

    jina mwigulu masikioni mwa cdm ni sawa na mkuki ulorushwa moyoni ndo maana wanamwogopa sana kwani uwezo wake ni mkubwa. Mwigulu usirudi nyuma endelea kumwadhibu dj mbowe na huyu babu slaa na wafuasi wao ambao wanafuata bila yakujua wanafuata kitu gani
  2. N

    Mbowe, Lissu, Mnyika na Marando ndani ya Kasulu leo

    wewe mfuasi wa gwanda acha kujidanganya mahakama haijasema kilwewo hana kosa ila imesema kesi aliyoshtakiwa si ya ugaidi, pia lwakatare naye kesi yake bado inaendelea hukumu bado na nadhani hiyo kesi lazima iondoke na mabosi wao mbowe na slaa kwani ndo waliowatuma.
  3. N

    Mbowe, Lissu, Mnyika na Marando ndani ya Kasulu leo

    uwezo wa mwigulu ktk siasa za tz ni mkubwa sana huwezi ukamlinganisha na dj mbowe au padri slaa labda kidogo zito. Ndo maana cdm hawalali sababu ya mwigulu sasa jeshi zima la ccm likiongozwa na amri jeshi mkuu dr kikwete sijui kama cdm itasalimika
  4. N

    Mbowe, Lissu, Mnyika na Marando ndani ya Kasulu leo

    sijaelewa maana ya hiyo picha. Mbona ccm tupo makini, tumewaacha mchezecheze ila 2015 majimbo yote tukianzia udiwani mpaka urais yatachukuliwa na ccm. Mbowe na kampuni yake ya cdm msijidanganye kuwa mtaichukua nchi
  5. N

    Mbowe, Lissu, Mnyika na Marando ndani ya Kasulu leo

    Usisahau kupiga picha za matukio mbalimbali pia mkumbuke kufunga kamera kama mlizofunga arusha kwani policcm wanaweza wakawapiga mabom
  6. N

    Walimu, wanachuo na wanafunzi wote mkoa wa Kigoma na Tanzania kwa ujumla wake

    Mkuu lutayega umefanya jambo jema sana hasa kipindi hiki ambacho elimu inazidi kuporomoka. Ila nakushauri mtandao huo uwasaidie na wanachuo toka vyuo vya ualimu
  7. N

    Kikwete, Membe na Lowassa: Kauli zao zitatupeleka vitani

    wanaishi ktk neema, kupitia vita wamejimilikisha mafuta yote ya afgastan na iraq na sisi hatuwez kutishwa na kagame alaf tukamnyenyekea, au haujui dawa ya moto ni moto na akichokoza tu nda ya siku 3 rwanda itakuwa colon la tz
  8. N

    CHADEMA yatangaza kutomtambua John Tendwa

    Jaji tendwa, amekuia jaji lini
  9. N

    Kufanya masters, phd ni uoga wa maisha.

    ni waoga wa maisha ndo maana maprofesa na madokta walio wengi wanakimbilia kwenye siasa ili wale nchi na si kutumia elimu kujikomboa na kulikomboa taifa, maprofesa hao hao ndo wamekuwa vibaraka vya wanasiasa kila wanachoelezwa na wanasiasa ambao wameishia form 4 wanaitikia ndio bila hata kuhoji
  10. N

    Huyu mmama anahatarisha ndoa yangu

    ndo maana kuna zana za kazi kwaajili ya kuhakikisha usalama kazini, tumia zana kula mpaka kabang uone kama atarudi tena
  11. N

    My List: Most Beautiful Tanzanian Female Celebrities

    huyu hata nafasi ya 50 hayumo
  12. N

    Photo Studio Equipment

    Kama hufahamu umekuja kufanyaje, kama si ungefunga mdomo wako wenyekufaham ndo wakarespond
  13. N

    Kwa nini wajumbe wa CCM mabaraza ya Katiba wanang'ang'ania Serikali mbili?

    Walikaririshwa waseme serikali mbili na viongozi wao, ila ukiwauliza kwanini serikali mbili wanakuwa hawana hoja
  14. N

    Kikwete amuagiza Rais wa Sudan awakamate waliouwa wanajeshi wa JWTZ!

    Mbona kikwete yeye ameshindwa kumkamata muuaji wa padri mushi, waliopiga bom olasit arusha na wale waliopiga bom kwenye mkutano wa cdm arusha au anataka tujue kuwa anamachungu na wanajeshi.
  15. N

    Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze hivi

    mkuu naomba uniuzie mbegu kwani nipo mbali na namna ya kusfirisha miche ni ngumu, naomba uniuzie mbegu
Back
Top Bottom