Recent content by Ntak

  1. Ntak

    Mrejesho wa Safari yangu ya Dar Kigoma na kurudi Dar. Nimetumia mafuta ya Tsh 230,000/= tu!

    Magari ya plug-in hybrid Badget zake zikoje Sifa zake ni zipi hasa
  2. Ntak

    Niwe mmoja wa WanaJF mwenye nyumba kali

    Asante sana mkuu, ntakapokuwa tayari ntakuchek.
  3. Ntak

    Niwe mmoja wa WanaJF mwenye nyumba kali

    Je, floor plan yake haichuji pia? Na vp kuhusu ghalama zake zikoje? Vyumba vinne kwa mfano
  4. Ntak

    Niwe mmoja wa WanaJF mwenye nyumba kali

    Plain design ndio umemanisha nn mkuu
  5. Ntak

    Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

    Yah, wana heri wenye mwisho mwema. Hongera sana
  6. Ntak

    Kijana mwenye wazo la Biashara la mtaji wa Mil 5-10

    Na vipi hawa jamaa hawawezi kuunguza a/c makusudi ili wabaki na pesa za traders? Tofauti kati ya standard na Aggreaive a/c ni nini hasa?
  7. Ntak

    Kijana mwenye wazo la Biashara la mtaji wa Mil 5-10

    Namaanisha, inatakiwa Tzs ngapi kupewa a/c ya $10,000 na hao propfirm? Maana angalau a/c ya $10,000 ina mgawanyo mzuri wa faida kwa mjibu wa maelezo yako
  8. Ntak

    Kijana mwenye wazo la Biashara la mtaji wa Mil 5-10

    Okey, kwa hiyo kwenye hiyo ya mgawanyo mzuri wa faida inakuwa $10,000 ya kweli au na yenyewe kibongobongo inadrop?
  9. Ntak

    Kijana mwenye wazo la Biashara la mtaji wa Mil 5-10

    Mi sijakuelewa bado, mleta mada kasema ana mtaji wa 10M, wewe unasema $100,000 na kuna sehemu umesema 2.5M inaweza pia kuwa mtaji hapohapo haumaji a/c ya chini ya $10,000. Nieleweshe naomba
  10. Ntak

    FT: Simba SC 3-1 Singida Big Stars | Estadio Benjamin Mkapa | 03/02/2023

    Hahahaha!? Kumbe ni kwa engo hiyo, haya bana hongereni
  11. Ntak

    FT: Simba SC 3-1 Singida Big Stars | Estadio Benjamin Mkapa | 03/02/2023

    KWani mke bora anapimwa kwa ushabikii?
  12. Ntak

    FT: Simba SC 3-1 Singida Big Stars | Estadio Benjamin Mkapa | 03/02/2023

    Ni shabiki haswaa, humkosi kwa mambo ya mpira
  13. Ntak

    FT: Simba SC 3-1 Singida Big Stars | Estadio Benjamin Mkapa | 03/02/2023

    Kwa kweli, maana siyo kwa ushabiki huo
  14. Ntak

    FT: Simba SC 3-1 Singida Big Stars | Estadio Benjamin Mkapa | 03/02/2023

    Kalpana we kindakindaki kweli aise
Back
Top Bottom