Eng kakoko ni kichwa na great thinker anapiga kazi saaana beyond of his limit ... halali, vikao had saa 9 usiku hii yote ni kupigania maslahi na utendaji sahihi wa bandari ingawa kuna wachache wanamkwamisha katika management yake. mimi naamini wanaomchukia ni wale wapigaji ambao kawabana sana...
Nauliza zile nafasi walizotangaza last month ATCL bado hawajaita watu kwenye interview? mwenye taarifa atujuze. Palikua na nafasi ya planning/development engineer 5 position.
Ni kweli T.O kihombo hatunaye tena duniani ametutoka baada ya kuugua kwa siku kadhaa.... its true and confirmed. R.I.P kihombo.
sisi sote ni wake na kwake tutalejea. tutakuanzi na inabaki story kwa UTABE wako hakika.
R.I.P aisee inapain sana. Nimepiga pindi kwake za physics Advance na alikua anatoa mapepa tunashindana 5 bora wanapiga next exam bure... alinifanya nikapotea xul miezi 6 nakomaa mchikichini. hakika MUNGU akupumzishe kwa aman mtaalam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.