mimi pia jana nmechukia sana baada ya kuangalia kipind kibovu kikiendeshwa na watangazaji makanjanja akina lwambano na kina edga na bwana shaffii...muda wote wanatuwekea ndondoo,,,
gemu kama el classico ilitakiwa ijadiliwe kwa upana wake,,,pamoja na ishu za kina sammata