Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,596
Ukiona mwanasiasa mpigaji anamtaja taja Mungu ujue anajivuta kutafuta atatokaje hapo. Hataki kujibu kwa sababu anamjua Magufuli kichaa hachelewi kumdadilikia.Hahahhh Mkulu ana mtindo wa kubadilishabadilisha kauli! Kesho anaweza akasema vinginevyo acha tuone tutaishia wapi! Amesema ni kazi ngumu lakini kama Mungu amemweka basi ataifanya kwa kumtegemea Mungu. Katiba Mpya ndio suluhu ya yote haya period!
Magufuli atapozwa tu. Hawezi kumvua nguo Mkapa.
Chenge anajiamini uwezo wake meenyewe moaka kasahau kwamba kuna kitu kinaitwa ukweli au ubaya.
Kwa sababu anaamini anaweza kupindisha kila kitu kiende anavyotaka yeye.
