CHADEMA, mchungeni Mwenyekiti Mbowe

CHADEMA, mchungeni Mwenyekiti Mbowe

acha kulialia ww kijana na andiko lako mfu la kuwafurahisha malumumba
 
Kama Mbowe ana shida ya hela watu wanaoipenda chadema wako tayari kumchangia. Ccm kweli im3mbana.

Watu wengine ni wabaya Slaa yeye alihongwa ngapi hata akatoka?
Mbowe hapokei mshahara chadema.

Alihitaji fedha kwa ajili ya kampeni za election 2015. Au unafikiri chadema ni chama tawala inayoweza kubana wafanyi biashara ama serikali kuwalipia? Acha uwongo wako wewe msaliti Benson.

Ni ukeli mtupu kuwa kiongozi wa chadema inahitaji moyo siyo pesa.
Kwani unadhani vita yota hatuioni?
Hakuna kiongozi wa CHADEMA ambaye ni Mbunge analipwa mshahara, sio Mbowe tu.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Mbowe na mtonyo anaweza kukuua kabisa Kama alivyofanya kwa Chacha Wangwe
 
Wewe si umeondoka? Au unataka tuseme yako? Mjinga mkubwa wewe! Tena fedhuli mkubwa.
 
Mramba muache Mbowe aitwe hivyo hivyo unavyomsikia,maana inaonekana hujajua misingi yake ilipojikita kisiasa.
Kuna watu wa kukimbia chama, siyo Mbowe
 
Mbowe sio mwepesi ila kwa anayokutana nayo ni njia ya ushindi kwani Watanzania wengi ni wanajua nini kinaendelea.

Upinzani una nguvu Sana na tukumbuke kama sio busara za Mzee Lowassa wasioshikiwa akili wanajua ni busara ipi ninaingelea hapa. Ndiyo basi tunasema Sisi ccm tuko vizuri kwa lipi au kwa huu uhuru wa kufanya siasa kwa Sisi watawala tuu yaani Bondia mmoja unamfunga mkono alafu anajitamba umeshinda ushindi upi hapo tunaojipa sisi wa kujisifia.

Naamini sisi tuna matatizo mkubwa sana kwani sisi ccm hatuyaoni anayeyaona raia ambaye tunakuja kumwomba kura siku si nyingi na hapo elimu ya uraia inazidi kuenezwa pale mtu anapopata jukwaa kwa njia yoyote ile.

Sisi ni wa kufundishwa kuongoza kwani kule walikoshinda upinzani tumeanza kujipendekeza kama vile hatujawahi kupaongoza kwani kulikuwa hatujui maana ya kuongoza au ndo kujua kutawala tuu.

Sasa hivi kuwatawala watu wenye elimu ya uraia ya kutosha ni kazi Sana kufanya yale unayoyataka wewe kama wewe bila mawazo ya watu wengine ni kazi ya ziada kwa kweli.
 
Wewe si umehama chama,kinachokuwasha ni nini? Ya Chadema waachie wao,wewe data waliokutuma
 
Hivi si ndio wewe siku chache zi'izopita ulileta uzi hapa kama umeamua kuwa mwanachama mfu?
Basi hayo mambo ya chadema waachie wanachama hai mkuu....
hutopungukiwa chochote!!

Hata mimi mkuu nimemshangaa. Mara mwanachama mfu, mara unatao ushauri, haeleweki. Labda tuanze na kutomwamini yeye.
 
1. Hebu tuletee taarifa za fedha za kampuni za Mbowe za miaka kumi iliyopita ili tulinganishe na ulichoandika kuhusiana na ustawi wa kampuni zake wakati wa Magufuli na huko nyuma.

2. Hivi kati ya Dk. Slaa na Mbowe nani alihusika kumleta Lowasa Chadema?
 
Mbowe haaminiki ni mhenga wa kupiga panga hata kumchunga huwezi ile ni Saccos yake wote walipo ofisini kwake ni wajuba wake hakuna anayeweza kumuuliza lolote
Mipasho hiyo ilishachokwa. Weka unazoweza kutolea vielelezo. Hapa ni mahali hoja sio porojo.
 
Back
Top Bottom