Abatmwe
Senior Member
- Dec 2, 2014
- 110
- 79
Leo kwenye kipindi cha sports bar cha clouds FM wameshindwa kuonyesha mambo aliyoyafanya mchezaji mwenzetu/Wa kwetu Tanzania, nikimaanisha Mbwana Samatta
Cha kushangazi zaidi ktk havari za kiataifa wamesifia wachezaji kibao wa nje wanakuja kushtuka muda umeisha ndo wanakumbuka Mbwana Samatta hawakumuongelea.
Hii inamaanisha nn kwa uzalendo wa Kitanzania, tv kama clouds ndo itakuwa kuwa ya kwanza kuwa mstari wa mbele kuwapromote wachezaji wetu ila dah kwa kweli inavunja moyo sana
Uzalendo huu mnataka wafanye TFF tu ila kwenu nyie mnaona sawa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha kushangazi zaidi ktk havari za kiataifa wamesifia wachezaji kibao wa nje wanakuja kushtuka muda umeisha ndo wanakumbuka Mbwana Samatta hawakumuongelea.
Hii inamaanisha nn kwa uzalendo wa Kitanzania, tv kama clouds ndo itakuwa kuwa ya kwanza kuwa mstari wa mbele kuwapromote wachezaji wetu ila dah kwa kweli inavunja moyo sana
Uzalendo huu mnataka wafanye TFF tu ila kwenu nyie mnaona sawa tu
Sent using Jamii Forums mobile app