Sisi ni Wataalamu 183 tulifanya kazi ya Uthamini katika uhamishaji wa wananchi kwenye Mradi wa GN 754 Mbarali Mbeya ambao ulikuwa unahusisha Wananchi kuhamishwa Ili kupisha hifadhi ya Ruaha na Bonde evu la Ihefu.
Waheshimiwa Mawaziri wa Wizara ya ardhi Jerry Silaa na Mhe. Waziri na Naibu Waziri...
Mh.Waziri Mkuu awali ya yote nakupa pongezi na shukrani Kwa kulipambania taifa letu kwenye pilika za kuleta maendeleo. Mungu azidi kukupa nguvu na uwezo wa kuendelea kulipambania taifa letu Ili lisonge mbele.
Mh. Waziri mkuu nakuja kwako naleta Malalamiko yangu Kwa niaba ya wenzangu tuliokuwa...
Ushauri murua kabisa.
Kama Serikali inaajiri maafisa maendeleo Kila kata,Afisa Afya Kila kata. Sasa kwanini wasiajiri ma Afisa mipango miji na wapima Kila kata Ili kudhibiti ukuaji holela wa miji!
Pia ningeshauri Kila palipo na Makao makuu ya kata basi iandaliwe GN na patangazwe kama ni...
Upo sahihi kabisa.Mwaka 2014 nilikuwa Arusha kwenye field work mitaa ya Kaloleni pale.
Kuna dada moja hivi alinifuata nimpe 1000 au anichanie form zangu nilizokuwa nakusanyia data. Kama masihara vile alimanusura azichane.ikabidi niwe mpole nimpe tu.Arusha siyo salama.
Halafu Faiza Foxy umekuwa member wa hii forum muda mrefu sana. Lakini mbona Enzi za utawala wa Hayati John Josephu Pombe. Ulikuwa kimya sanaa.Sijui ulikuwaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.