Siku moja asubuhi nikiwa kazini. Alikuja mwanamke mmoja mtu mzima kunizidi umri
Alinikuta niko ofisini na mkurugenzi msaidizi wa taasisi husika.
Yule mkurugenzi alimwelekeza yule mwanamke kwangu nimsikilize. Nikamuita kwenye ofisini ya mkuu wangu wa kazi nimsikilize
Lakini yule mtu alikataa...
Hongera kka ninakushauri japo ccm kuna hela za bure ila ndoa si nyepes kama hujajipanga
Pili kwa familia za kiafrka yuko sawa kwenye kutokukutambulisha ila hayuko sawa kukunyima juju
Maana yake kuna anayempa
Tatu anasuburi matokeo maana anaweza kufel tena anaogopa kuambia ww ndo chanzo cha...
Sehemu kubwa ambayo serikali ya tanzania imefanikiwa kuondoa coupé detat ni kuwaahidi wanajeshi vyeo za kisiasa
Yaan kushare national keki hvo wanakuwa desperate sana kwenye nchi
Kiukwel mapinduz kweti hayawwz tokea maana hao wanajesh wakishastaaf wanakuwa wakuu wa mikoa mabolz na kadhalik...
Wakuu naleta hoja kwenu au swali.
Kwanini serikali inatumia nguvu kubwa kuwaeleza watu juu ya huu mkataba wa bandari?
Mbona mktaba ulishapitishwa na bunge nini kimewarudisha nyuma kuwapa watu elimu
Nimeona kwa baadhi ya mikoa kama leo wamiliki wa shule binafsi wanaombwa magari ya kusafirisha...
Nawasilisha kwenu wakuu nishaurini kuna bint niliyekuwa naye nilikuwa nampenda sana tena mno ila kipindi cha korona sehem nilikuwa nafanya kazi ikaanguka tukaachishwa kazi. Alikaa kimya kwa muda mrefu akaja kunitafuta tena akapotea tena
Juzi amekuja na story zake kuwa amenikumbuka ametendwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.