Wanajamvi mzazi wangu anaumwa amefanya vipimo imeonyesha chambe hai nyekundu za damu zimezidi. Daktari wake anasema chanzo hakijulikani kwa hiyo hata matibabu sahihi imekuwa ngumu. Naombeni mwenye uelewa na hili eneo anishauri mzazi wangu apate tiba gani akae sawa.
Mbona wamemsifia sana jana kuwa alikuwa mcha Mungu anafunga kila siku na kutoa sadaka kwa mahitaji pamoja na kusaidia kanisa
Yani walivyomuelezea kuhusu kuwa mcha Mungu hadi walikuwa wanamuita katekista. Nachoka mimi nachoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.