Recent content by nsalu

  1. N

    RIP Gadner G. Habash, ila wengi waliokuja kwenye msiba wako hawakuja kuomboleza, walikuja kutikisa ili wa-trend

    Mmh siyo kweli jamani watu Waongo sana. Caren alimpenda baba yake sana na watu walikuwa wanamuona hospitali. Halafu ni mjamzito kwa hali yake isingekuwa rahisi kwenda hospitali kila siku. . Mengine watu waache angalau dhambi ya uongo kama vingine wameshindwa.
  2. N

    Hivi Msumi ipo Dar es Salaam kweli?

    Sijui ni mtaa upi huo usio na mpangilio unaozungumzia.
  3. N

    Hivi Msumi ipo Dar es Salaam kweli?

    Waambie waelewe. Sehemu niliyowekeza mimi kuna maji kutoka Tegeta A. Upande uliobaki Maji yatafika na fomu walishajaza. Maendeleo yanakuja .
  4. N

    Hivi Msumi ipo Dar es Salaam kweli?

    Sisi tulishawahi tumewekeza biashara zetu vzr. Na maji yapo tumepata kutoka tanki la Tegeta A. Mtoa huu uzi aache kukatisha watu tamaa yeye akajenge Sinza au Kinondoni atuachie Msumi yetu. Maana hata Goba miaka ya 2012 ilikuwa worse no maji no umeme no barabara. New Msumi is coming!
  5. N

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    Mama yake alikuwa nesi Bombo hospitali
  6. N

    Malengo ya Mbio za Mwenge yabadilishwa, Sasa hivi wanauzungusha tu na kufanya Matamasha

    Mbio za mwenge zimekuwa mashindano ya kuleta wasanii . Bibi kaleta kundi kubwa la wasanii na Bwana naye kaleta wa lkwake na coaster.
  7. N

    Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mwandabila: Naona Kikokotoo kinawaweka Wastaafu katika hali nzuri

    Nimetamani kutamka neno kali nimejizuia tu. Viti maalimu vifutwe tu jamani. Huyu dada alaaniwe na wastaafu wote.
  8. N

    Huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au amelogwa?

    Hivi Beatrice Muhone alisharudiana na mume wake?
  9. N

    USHAURI kwa Makonda na kampuni za utalii namna ya kukuza utalii jijini Arusha

    Ila CC TANAPA kadhalililka sana kwenye kile kikao
  10. N

    Fahamu jinsi ya kuchagua TV nzuri itakayokufaa kabla hujanunua

    Nimefurahia sana hii elimu. Asante sana metal hii posts
  11. N

    Siri ambayo waombaji wengi wa Kikristo hawajaijua. Chukua hii uone matokeo katika maombi yako

    Yesu baada ya kufufuka alieashukia mitume. Akawajaza Roho Mtakatifu kila mtu akanena kwa lugha. Ndiyo mwanzo wa kunena.
  12. N

    Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

    Halafu wao wenyewe hawakitaki wanapeleka watoto wao St Augustine, Tumaini, St John's etc. Sijui kinaendeleaje na udahili 🤣🤣🤣🤣
Back
Top Bottom