Mmh siyo kweli jamani watu Waongo sana. Caren alimpenda baba yake sana na watu walikuwa wanamuona hospitali. Halafu ni mjamzito kwa hali yake isingekuwa rahisi kwenda hospitali kila siku. . Mengine watu waache angalau dhambi ya uongo kama vingine wameshindwa.
Sisi tulishawahi tumewekeza biashara zetu vzr. Na maji yapo tumepata kutoka tanki la Tegeta A. Mtoa huu uzi aache kukatisha watu tamaa yeye akajenge Sinza au Kinondoni atuachie Msumi yetu. Maana hata Goba miaka ya 2012 ilikuwa worse no maji no umeme no barabara. New Msumi is coming!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.