Recent content by nsalu

  1. N

    Ssebo hakujenga nyumba Dar?

    Makamu wa Rais alikosa nyumba? Au
  2. N

    Ssebo hakujenga nyumba Dar?

    Hata mimi kuishi peke yake kumenishangaza. Halafu sikujua kama alikuwa na mke
  3. N

    Kuzidi kiwango Chembe hai nyekundu za danu

    Asante Nimewasiliana naye amesema hana tatizo lolote la mapafu ila ana presha ya muda mrefu sana.
  4. N

    Kuzidi kiwango Chembe hai nyekundu za danu

    Yanasaidia hilo tatizo?
  5. N

    Kuzidi kiwango Chembe hai nyekundu za danu

    Asante sana kwa ushauri tutaomba hivyo vipimo
  6. N

    Kuzidi kiwango Chembe hai nyekundu za danu

    Wanajamvi mzazi wangu anaumwa amefanya vipimo imeonyesha chambe hai nyekundu za damu zimezidi. Daktari wake anasema chanzo hakijulikani kwa hiyo hata matibabu sahihi imekuwa ngumu. Naombeni mwenye uelewa na hili eneo anishauri mzazi wangu apate tiba gani akae sawa.
  7. N

    Kwa sasa ukishindwa kupanda ndege basi tena

    Mtoto wa mama Lichadi 😀
  8. N

    Askofu Ruwai'chi: Tusiwe Wakatoliki wa Vijora na kuhongwa

    Kumbuka hawajalazimishwq
  9. N

    Hivi hili roboti la Bunge lilikwenda wapi?

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  10. N

    TANZIA Jenista Mhagama, Mbunge wa Peramiho afariki dunia

    Mbona wamemsifia sana jana kuwa alikuwa mcha Mungu anafunga kila siku na kutoa sadaka kwa mahitaji pamoja na kusaidia kanisa Yani walivyomuelezea kuhusu kuwa mcha Mungu hadi walikuwa wanamuita katekista. Nachoka mimi nachoka
  11. N

    Kwanini TISS wapo msibani kwa Marehemu Mhagama, na kwa kujificha?

    Mama Kodi ni nani tena msaada tafadhali
  12. N

    PostGE2025 RC Chalamila: Tutachukua hatua kwa tuhuma za Padri Kitima, kuhusu TANESCO kuhusika kwenye shambulio dhidi yake

    Shule mtu aliyesema waandamanaji wakatwe vichwa alishaagiza achukuliwe sheria?
  13. N

    Ummy aligoma kumuinamia Malikia!

    Hapana alikuwa Dr Chaula jina la kwanza nimelisahau ila ni mwanamke
Back
Top Bottom