mwaka na miezi kadhaa imepita toka post yako hii. Naomba mrejesho ulifanikiwa au ndio ulikatishwa tamaa? nategemea mrejesho wako ili na mimi nifanye maamuzi kama yako.
Waungwana habari za leo.
Kwa wale wafugaji wa ng'ombe na wajuzi wa maziwa, naomba kujulishwa njia nzuri ya kugandisha maziwa ambayo hayatajitenga na maji.
Kwa sasa nagandisha maziwa kwa kuyachemsha afu yakipowa nayaweka kwenye ndoo safi nachanganya na maziwa mgando kwa ratio kama ya lita 5...
nina nia ya dhati, asante kwa namba. ila ninaomba tuanze na pm kwanza, hii pm ni kwa ajili ya kufahamiana vizuri baada ya hapo namba za simu zinaweza kutumika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.