mbeyakwetu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 723
- 397
pale gharam ipo juu saan inaanzia 45000gharama ya malazi zikoje hapo hotel...
pale gharam ipo juu saan inaanzia 45000gharama ya malazi zikoje hapo hotel...
Hizi sikuziona mkuu, ningeona na mimi ningeomba!!Sio Utumishi ni ya idara ya maji mkuu
Sasa 45000 tu kwa ajili ya Hotel kama anauhakika na ajira hapo sawa maana sipati picha unawekeza kiasi hiko alafu nafasi zina watu tayari inaumapale gharam ipo juu saan inaanzia 45000
anahitija sehemu nzuri ya kulala kwani tukimuelekeza sinde kuna lodge nyingi tuSasa 45000 tu kwa ajili ya Hotel kama anauhakika na ajira hapo sawa maana sipati picha unawekeza kiasi hiko alafu nafasi zina watu tayari inauma
Sio Taasisi zetu hazilipi sikuhizi gharama za usaili kila kitu mwenyewe anyway ila kama yuko vizuri kifinance alipe tu hata 5 stars kama zipo mbeyaUnarnda interview kwa gharama yako na usafiri wako unaenda lala sehem expensive!!!!!!
Unatakiwa kulala sehem isiyozidi 50,000
Ilakama wanalipia wao, watakuchagulia hotek
Hahaha hahaha aiseeKAMA JINA LAKO HALIANZI NA 'MWA' USIENDE MKUU.. HYO HELA KANYWE HATA BALIMI.
Aaaaaaaaaah nyomii ya watu hapaWale wote tulio itwa interview idara ya maji Mbeya tukutane hapa. Wengine hatujawahi fika Mbeya kabisa.
Kama kuna wenyeji mtuambie sehemu nzuri ya kufikia na maelezo mengine kama nauli toka Dar to Mbeya na Bus zuri.. Asante
kwani wameita mkuu....Aaaaaaaaaah nyomii ya watu hapa
wameita ln call for interviewAaaaaaaaaah nyomii ya watu hapa
Hizi sikuziona mkuu, ningeona na mimi ningeomba!!
Tulifanya interview ya utumishi daah wale jamaa sio kwa kweli... Ila kama hawahusiki na hii interview yenu basi wenda ikawa vizuri!!
interview ilikuaje mkuu?Aaaaaaaaaah nyomii ya watu hapa