Keshasema kashfa na matusi hataki. Kwani kakulazimisha?Tangu lini bikra ikawa sifa ya mke bora? Pelekea wapuuzi hiyo bikra yako
Kila la kheri
asante kaka, mimi hiyo sihihitaji ila najua kuna madada wanapenda izonjoo kwangu...
umri wangu miaka 31 Mimi pia ni mwanaume bikira yaani dudu yangu haijawahi kutumika kabisa ila bado sijatahiriwa sijui ntakufaa!
ukitaka tupime kwa daktari nipo tayari.Je tutaweza kutesti kwanza ili kujiridhisha? Maana siku hizi zipo za kichina.
Kwani shingapi vilee?ZA JIONI WADAU.
NAJUA KUA WANAUME WENGI SIKU IZI HAWATAKI WANAWAKE BIKIRA, KWAIYO HII NI KWA WALE TU WANAOHITAJI MKE BIKIRA. Sifa zangu, miaka 27, nina kazi inayoniingizia kipato, mkristo.
Sifa za mume ninayemtaka miaka kuanzia 29 mpaka 34, mkristo, awe na kazi au shughuli inayomwingizia kipato. KASHFA NA KEJELI NAOMBA ZISIWEPO, HII NI KWA AJILI YA WALE WENYE MALENGO NA UHITAJI WA MTU KAMA MIMI, NJOO PM ILI TUWEZE KUFAHAMIANA VIZURI.
GOD BE WITH YOU ALL!
nashukuru umenielewa na kunisaidia kumwelimisha huyo mtu, watu sijui tukoje?Keshasema kashfa na matusi hataki. Kwani kakulazimisha?
nina nia ya dhati, asante kwa namba. ila ninaomba tuanze na pm kwanza, hii pm ni kwa ajili ya kufahamiana vizuri baada ya hapo namba za simu zinaweza kutumika.Wewe unaetafta mme.. Kwa dhati na ukweli wa moyo wako, nitaft kwa no.. 0789211111 mimi ni kijana mwenye miaka34.. Nafanya biashara na naishi mwanza. Ni mkristo.. Karibu tutafte maisha.. Kama kweli una nia hiyo toka moyoni.
Bikra wapi sasa, dadavua coz siku hz watu tunataka kote kuwe bikira, isije ukatunza huko kumbe kule 0714.... hakuna kitu.
hahahahaha du! id yako tu!