Haitoisha misimu miwili wataridisha hayo mashindano. Watadumaza Sana vilabu vinavyochipukia Kwa sababu kihistoria hawana points za kuweza kushindana na hao kina Mamelodi, Simba, al ahly nk
Wenye pesa waliotoka familia tajiri ndio wako humble, sio hao ukoo mzima masikini ndio yeye kabahatisha kautajiri full kutukana waalimu, waliokuwa wanaongoza darasi enzi zake😂😂😂, wakulima,
Ila kiukweli demu akishakuwa single mother Hana Tena uwezo wa kuchagua atakavyo, lamda awe mpambanaji na mwenye kipato angalao mwanaume anayetambua atasema sawa yeye ni single mother ila anakasifa kaziada ni mpambanaji. Lakini single mother alafu kipato chako ni kupitia mbususu,,, tutapata...
Aliniambia huo ndio utaratibu pambana ulipe hiyo pesa. Aisee, nikajaribu kuomba omba ushauri Kwa wadau wakaniambia Kwa sababu ushakuwa registered Kwa jina lako huko mbeleni watakuja kukukamata iwapo itafungua biashara nyingine. Tena utalipa na riba. Kiukweli niliilipa lakini sikuhizi naenda nao...
🤣🤣🤣🤣 Umenikumbusha kunakipindi nilifungua biashara, Tena enzi hizo watu wanaendesha biashara hata leseni hawana na maisha yanaenda tu. Mimi nikajifanya nimeelimika lipa Kodi bila shuruti, chapu huku nishaipata fremu nikaenda manispaa kukata leseni.
Pale kwenye leseni wakaniambia nipambanie Tin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.