Recent content by Noti bandia

  1. N

    Ali Kamwe: Simba wakisusia derby tutageuza Yanga day

    Hata mechi ya Mamelodi na Yanga watu walikuwa na mtazamo kama wako
  2. N

    Serikali kutumia Tsh. Bilioni 190.57 kununua V8 mpya za Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Ujenzi wa Makazi na Utawala

    Sasa mnaolalamika mlitaka viongozi watumie punda na farasi kwenda kutatua changamoto za wananchi?
  3. N

    Twende mbele, turudi nyuma: Nchi za wenzetu zilizoendelea wanapiga kazi

    Kazi Kwa METL saa 1 Hadi saa 10 malipo 150,000 Kwa mwezi. Yaan 5,000 ambayo sarange anaipata Kwa abiria wawili
  4. N

    Ali Kamwe: Simba wakisusia derby tutageuza Yanga day

    Hii mechi sio rahisi kadri watu wanavyoifikiria
  5. N

    Kwa Jicho la kimpira kuifuta Confederation Cup, CAF wamepuyanga, Motsepe unaharibu soka la Afrika

    Haitoisha misimu miwili wataridisha hayo mashindano. Watadumaza Sana vilabu vinavyochipukia Kwa sababu kihistoria hawana points za kuweza kushindana na hao kina Mamelodi, Simba, al ahly nk
  6. N

    Watu wenye pesa/mafanikio wako very humble

    Wenye pesa waliotoka familia tajiri ndio wako humble, sio hao ukoo mzima masikini ndio yeye kabahatisha kautajiri full kutukana waalimu, waliokuwa wanaongoza darasi enzi zake😂😂😂, wakulima,
  7. N

    Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

    Ila kiukweli demu akishakuwa single mother Hana Tena uwezo wa kuchagua atakavyo, lamda awe mpambanaji na mwenye kipato angalao mwanaume anayetambua atasema sawa yeye ni single mother ila anakasifa kaziada ni mpambanaji. Lakini single mother alafu kipato chako ni kupitia mbususu,,, tutapata...
  8. N

    Wanafunzi Saba wahofiwa kupoteza Maisha baada ya School Bus kuanguka kwenye korongo (Sinoni, Arusha)

    Ndio uwezo wa waafrika ulipoishia hapo. Yaan badala ya kutatua matatizo sisi tunaamini hayo ndio mapenzi ya Mungu.
  9. N

    Mchengerwa akabidhi Tsh. 50,000,000 kutoka mshahara wake kusaidia Wanarufiji waliokumbwa na mafuriko

    Pesa ya kustaafu mtumishi mmoja aliyefanya kazi miaka 35 imekabidhiwa huko rufiji na mtu mmoja kutoka kwenye kisehemu Cha mshahara wake🤔🤔🤔.
  10. N

    Hizi kodi zinalipika vipi jamani?

    Aliniambia huo ndio utaratibu pambana ulipe hiyo pesa. Aisee, nikajaribu kuomba omba ushauri Kwa wadau wakaniambia Kwa sababu ushakuwa registered Kwa jina lako huko mbeleni watakuja kukukamata iwapo itafungua biashara nyingine. Tena utalipa na riba. Kiukweli niliilipa lakini sikuhizi naenda nao...
  11. N

    Hizi kodi zinalipika vipi jamani?

    🤣🤣🤣🤣 Umenikumbusha kunakipindi nilifungua biashara, Tena enzi hizo watu wanaendesha biashara hata leseni hawana na maisha yanaenda tu. Mimi nikajifanya nimeelimika lipa Kodi bila shuruti, chapu huku nishaipata fremu nikaenda manispaa kukata leseni. Pale kwenye leseni wakaniambia nipambanie Tin...
Back
Top Bottom