Recent content by Noti bandia

  1. N

    JamiiForums Tanzania Napenda Kumjibu Mzee Warioba Ya Kuwa CCM Itaongoza Taifa hili Hadi Mwisho wa Dunia Na Ataicha ikiwa Madarakani. Aache Chuki Binafsi Kwa Rais wetu

    Ndio nikashangaa kwamba itaongoza milele mpaka siku Dunia inaisha?. Sindio unamaanisha hivyo Kwa lugha nyingine??
  2. N

    JamiiForums Tanzania Nini kitatokea baada ya Magufuli kustaafu Urais?

    Sasa unataka watu wacheke na kima shambani kweli
  3. N

    JamiiForums Tanzania Nini kitatokea baada ya Magufuli kustaafu Urais?

    Usalama upo wa kutosha
  4. N

    JamiiForums Tanzania Mo Dewj ni Tapeli? Serikali imchunguze Huyu Bilionea

    Usisahau wakaajiri na mtaalamu wa ku scout wachezaji mpaka Leo simsikii tena
  5. N

    JamiiForums Tanzania FT | Kagera Sugar 0-2 Simba SC | Ligi ya NBC | Uwanja wa Kaitaba | Kaitaba ni Nyekundu

    Niwakumbushe kuwa tayari Yanga ana goal difference ya mbili. Sasa endeleeni kucheza mkifunga kagoli kamoja mme relux
  6. N

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa wa mo kuiachia Simba!

    Siku Simba wakitambua kuwa mwenyekiti wa wanachama lazima awe ametokana na maamuzi ya mwekezaji ndio mtasahau machungu mnayopitia. Yanga wanafanikiwa Kwa sababu GSM kamuweka Hersi pale
  7. N

    JamiiForums Tanzania Ado Shaibu: CCM na Serikali hazina nia ya dhati ya KATIBA mpya

    Wasiokuwa na nia ya dhati ni vyama kama ACT ndio vinakipa kiburi CCM. Mnang'ata na kupuliza ndio shida yenu
  8. N

    JamiiForums Tanzania Hii timu yangu ya Simba kumbe bado ni takataka 🚮

    Hata Simba walipochukua kombe mara nne mfululizo ni Kwa sababu Yanga walikuwa na uongozi mbovu wakawa wanategemea bakuli. Kwa uongozi huu wa Yanga Simba wanatakiwa watembee kisasa la sivyo alichosema Manara watachukua kombe mara kumi mfululizo naliona
  9. N

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa Taifa, watu na mali zao ni kipaumbele namba moja Tanzania

    Tatizo tunalipanda Mali zetu Kwa kutumia nguvu lakini hao hao wazungu na wachina wanaokuja kuzichukua Kwa kalamu tu. Wakulinda Mali zetu wa kwanza kabisa ni viongozi walewa na wazalendo maana hao wawekezaji hawaji na bunduki kuzichukua Bali wanakuja na kalamu tu na siku zote mikata ya kijinga...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Eti UKIMWI ni ugonjwa ? 😆 mtu anagamba public kabisa na kudai UKIMWI ni ugonjwa !! Nani alikufa na ukimwi?

    Wa kusimulia UKIMWI ni mtu aliyeuapata ndio naweza kumsikiliza Hali anayopitia na sio wewe ambaye bado uko salama.
  11. N

    JamiiForums Tanzania Pamoja na mapungufu ya CCM lakini kwa wapinzani hawa wa kudandia kila jambo, CCM itatawala mpaka Yesu arudi

    Tutafute refa wa kimataifa aje asimamie mpambano tuone mechi itaishaje. Maana refa wa ndani hapa achaguliwe na timu moja then ampe mpinzani ushindi !!??
  12. N

    JamiiForums Tanzania Weka orodha ya rasilimali zetu zilizouzwa, kubinafsishwa au kuporwa na Serikali tangu Mwl Nyerere alipoziacha kwa kustaafu mwaka 1985

    Nchi imepitia misukosuko mingi sana. Unataifisha viwanda then unawapa watu wasio na ujuzi Tena makada kuendesha kiwanda. Naonaga watu hususani makada wanasema nchi imepitia hatua sana ukilinganisha tulikotoka, ni kweli tumepiga hatua na Kila mmoja anaona lakini tulipaswa tuwe mbali sana na...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Alivyosema tu MCHAKATO nikasema hapa hakuna kitu

    Huwa nawaza tu siku wakiamua kutupa katiba mpya, hv watatupa katiba nzuri kweli au itakuwa kuzubaisha genge tu.
Back
Top Bottom