Siku Simba wakitambua kuwa mwenyekiti wa wanachama lazima awe ametokana na maamuzi ya mwekezaji ndio mtasahau machungu mnayopitia. Yanga wanafanikiwa Kwa sababu GSM kamuweka Hersi pale
Hata Simba walipochukua kombe mara nne mfululizo ni Kwa sababu Yanga walikuwa na uongozi mbovu wakawa wanategemea bakuli. Kwa uongozi huu wa Yanga Simba wanatakiwa watembee kisasa la sivyo alichosema Manara watachukua kombe mara kumi mfululizo naliona
Tatizo tunalipanda Mali zetu Kwa kutumia nguvu lakini hao hao wazungu na wachina wanaokuja kuzichukua Kwa kalamu tu. Wakulinda Mali zetu wa kwanza kabisa ni viongozi walewa na wazalendo maana hao wawekezaji hawaji na bunduki kuzichukua Bali wanakuja na kalamu tu na siku zote mikata ya kijinga...
Tutafute refa wa kimataifa aje asimamie mpambano tuone mechi itaishaje. Maana refa wa ndani hapa achaguliwe na timu moja then ampe mpinzani ushindi !!??
Nchi imepitia misukosuko mingi sana. Unataifisha viwanda then unawapa watu wasio na ujuzi Tena makada kuendesha kiwanda. Naonaga watu hususani makada wanasema nchi imepitia hatua sana ukilinganisha tulikotoka, ni kweli tumepiga hatua na Kila mmoja anaona lakini tulipaswa tuwe mbali sana na...
Swali ambalo pia ilibidi amuulize, ilikuwaje akahama wakati uchaguzi wa mwenyekiti ulikuwa umekaribia. Kwann asingesubiri aungane na wenzie kuung'oa huo uongozi
Msigwa nilimuona anaakili ndogo sana baada ya kushindwa kung'amua mambo. Kwanza kabisa sababu ya kutoka Chadema ilikuwa ni Kwa sababu ya Mbowe lakini kilichonishangazaga huyu jamaa wakati anachukua maamuzi hayo uchaguzi ulikuwa umekaribia, sasa badala ya kuungana na wengine kumchimoa Mbowe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.