Ni wakati sasa wa mo kuiachia Simba!

Ni wakati sasa wa mo kuiachia Simba!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
22,728
Reaction score
27,444
Nashindwa kuielewa kabisa!,Kuna wakati waarabu wa nafikiri dubai au oman waliitaka simba,likatokea zengwe timu hii atafutwe mwekezaji mwarabu tajiri amwage fedha za kutosha ili mambo yakae sawa kwa usajili wa maana utakao leta wachezaji vigogo wa kuleta ushindani mkali,


1000010600.jpg
 
Sio sifa kufungwa na Yanga kila mara .

Hawajui tu wanaharibu Brand yao.

Kibiashara thamani ya club itashuka.

Nani anataka kujihusisha na club inayofungwa kila mara.

Wajitahmini kwakweli.
 
Komaeni aondoke ili Simba irudi kuwa ile ya Mzee Akilimali, itapendeza sana!
 
Tatzo sio mo tatizo matajir watatu wanapatikana wapi kwa pmj
 
Naye pia aondoke badala ya kusimami katiba anatumia busara hizo ni siasa zisizo na faida kwa Simba pia zinatengeneza migogoro isiyo na faida.
Aondoke kwasababu ya matatizo yake ya kiutendaji.

Hiyo ya kusema busara kwangu haijakaa vizuri naiona kama unataka kumfichia makosa yake asionekane ni tatizo bali ni mtu aliyeponzwa na wema wake uliopitiliza kwasababu alitumia busara.
 
Sio sifa kufungwa na Yanga kila mara .

Hawajui tu wanaharibu Brand yao.

Kibiashara thamani ya club itashuka.

Nani anataka kujihusisha na club inayofungwa kila mara.

Wajitahmini kwakweli.
Kila siku nawambia pambanieni katiba mpya kwa ajiri ya vizazi vyenu ( maneno ya Ima) sio mimi. Mpira hamuuwezi madrid kafungwa na barcelona kama hayupo ivi uliona wanasema wanashuka brand kwa sababu ya kufungwa?
 
Bao la albert limeanza kufanya kazi kule "wakunyia fc"

Kombe ambalo wakunyia fc wanaweza beba ni kumbe la kwenda kukojoa na kunyia uwanjani, hlo mbona linabebeka sana...

Wazee wa dumbia, wengne wanapga kichwa kwenda mbele wafunge, yeye anapga kurudi nyuma...."maaajaaabu"
 
Tanzania huwezi kuwekeza kwenye mpira hela ndefu ukategemea eti irudi na upate faida hilo halipo.

Wawekezaji kama akina Dewji ndio saizi ya wawekezaji kwa mpira wa kitanzania.

Tanzania ni nchi ambayo asilimia kubwa ya watu ni wachovu hata kiingilio cha shilingi 2,000 tu bado watu hawawezi kumudu bado watakwea tu miti ili kuangalia mechi, jezi mashabiki hawawezi kununua original hununua copy tu.

Kwa hali hiyo mwekezaji wa maana hawezi kupatikana kwa mpira wa Tanzania kwani atakula hasara ya mwaka na hata sasa wawekezaji wa sasa kwa vilabu vya Simba na Yanga bado serikali inawafanyia hisani kwa kuwabeba kwenye mambo ya kodi.
 
Aondoke kwasababu ya matatizo yake ya kiutendaji.

Hiyo ya kusema busara kwangu haijakaa vizuri naiona kama unataka kumfichia makosa yake asionekane ni tatizo bali ni mtu aliyeponzwa na wema wake uliopitiliza kwasababu alitumia busara.
Simfichii chochote ndio maana nataka awajibike kwa kusema anatumia busara badala ya kufata sheria.
 
Siku Simba wakitambua kuwa mwenyekiti wa wanachama lazima awe ametokana na maamuzi ya mwekezaji ndio mtasahau machungu mnayopitia. Yanga wanafanikiwa Kwa sababu GSM kamuweka Hersi pale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom