Alloyce PR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 798
- 865
Kwa logic yako, kwenye siasa hakuna rafiki au adui wa kudumu.
Afrika inahitaji mgombea huru tu kupewa ruksa
Chama kimoja sio suluhu ndio inaus uwajibikaji. Watu wanakimbilia CCM maana ndio njia nyeupe kupata uongozi na kutekeleza malengo ya kisiasa. Ila kukiwepo na demokrasia, tume huru, uhuru wa habari na mahakama huwezi ona watu wanahama vyama maana siasa zitaongozwa na sera sio "urahisi wa kushinda uchaguzi" maana kila mtu hata mgombea atakua na uwezo wa kushinda ubunge, urais, udiwani n.k
Hakuna aliyewahi kuhama chama tawala kisha akaita ni wajinga, mara zote wakihama ni kimya, husikii ametusi chama.Kwa logic yako, kwenye siasa hakuna rafiki au adui wa kudumu.
Ita wanasaisia wajinga, maana kuna chama tawala walihamia upinzani baada wakarudi chama tawala? Je tuite chama tawala wajinga?
Usiishie kusoma heading.Kwa logic yako, kwenye siasa hakuna rafiki au adui wa kudumu.
Ita wanasaisia wajinga, maana kuna chama tawala walihamia upinzani baada wakarudi chama tawala? Je tuite chama tawala wajinga?
Are you shure about that?Hakuna aliyewahi kuhama chama tawala kisha akaita ni wajinga, mara zote wakihama ni kimya, husikii ametusi chama.
Kwenye ngazi za serikali ya mtaa, udiwani na ubunge kama wataruhusiwa wanaweza kuleta mabadiliko. Nahisi ndiyo sababu wanawakataa.Afrika inahitaji mgombea huru tu kupewa ruksa
Ukiwa na wagombea binafsi kwenye Bunge , wataweza kumuajibisha Rais. Ila huo utakuwa mwisho wa CCM ndiyo maana wanaipinga.Kwenye ngazi za serikali ya mtaa, udiwani na ubunge kama wataruhusiwa wanaweza kuleta mabadiliko. Nahisi ndiyo sababu wanawakataa.
Kwa raisi nadhani ni ngumu kutoboa bila ya logistics za kichama. Sisemi wasiruhusiwe.
Weka rekodi hapa za sauti wakisema chama tawala ni wajinga.Are you shure about that?
Lazaro Nyalandu — Aliondoka CCM na kujiunga Chadema, akisema kuna matatizo ya demokrasia ndani ya chama tawala.
Lowasa , unakumbuka kauli zake?
Hao ni wachache and list goes on, uwe unahakiki records kabla hujafungua uzi
Logic hapo ni ipi?Kwenye vyama kuna wapiga kelele kama wewe ambao hawana maamuzi yoyote ndani ya vyama vyao, halafu kuna wanachama hawana kelele ila ndio wenye maamuzi ndani ya vyama
Na wabunge binafsi si rahisi kudhibitiwa. Tukichukuwa mfano wa Tanzania tuna msajili ambaye anaamua nani wawe viongozi wa vyama.Ukiwa na wagombea binafsi kwenye Bunge , wataweza kumuajibisha Rais. Ila huo utakuwa mwisho wa CCM ndiyo maana wanaipinga.
Oh is that so, edward lowasa aliyasema hayo wakati wa kampeni 2015, wakati huo alisha katwa ccm. Na nukuu “ccm imejaa rushwa na udikteta”Weka rekodi hapa za sauti wakisema chama tawala ni wajinga.
Kusema za ukweli TZ imeoza. Yaliyo CCM ndiyo hata na Chadema et al. Kila mtu anatumia chama kwa faida yake binafsi tu. Mgombea huru ndiye mkomboziwa nchi hiiNa wabunge binafsi si rahisi kudhibitiwa. Tukichukuwa mfano wa Tanzania tuna msajili ambaye anaamua nani wawe viongozi wa vyama.
Rejea
Hamadi Rashid vs Said Miraji
Selasini vs Mbatia
Self Sharif vs Lipumba
Lipumba vs The current CUF chairman
Elewa weka rekodi za sauti sio, kuandika.Oh is that so, edward lowasa aliyasema hayo wakati wa kampeni 2015, wakati huo alisha katwa ccm. Na nukuu “ccm imejaa rushwa na udikteta”
Na nyingine nyingi
So does lazaro nyalandu alipoondoka 2015, moja ya kauli alizotoa wakati hakupata nafasi ya kuogombea ccm
Hizi ni publick records from 2015 archivez, source magazeti, na video wakati wa kampeni.
Couldnt get to video hizo but that was it.
So bro , wanasiasa wanaongea lolote haijalish chama walichopo, itategemea interest zao