Recent content by Nothing4good

  1. Nothing4good

    JamiiForums Tanzania Nakaribia kuchepuka

    Mama mkubwa my foot, uzee mwisho chalinze, upo dogoooo
  2. Nothing4good

    JamiiForums Tanzania Nakaribia kuchepuka

    Wakuu nadhani shetani yupo kazini, mzee wangu. Anafanya kazi mkoani mimi nipo mkoa mwingine anakuja mara moja au 2 kwa mwezi. Tuna miaka 18 katika ndoa sijawahi kuchepuka, mwanzoni nilikuwa natongozwa nakataa hapo hapo, ikafikia muda nikitongozwa nakubali ila nawapotezea mpaka wanakata...
  3. Nothing4good

    JamiiForums Tanzania Kuwa makini unapokwenda baharini kuogelea na mke/mpenzi wako

    Nawe ulikuwa wapi wakati wanatafunwa au na wewe ndio beach boys 😀😁😀
  4. Nothing4good

    JamiiForums Tanzania GEITA: Panda Kinasa, anayeteka watu apigwa risasi makalioni na kufariki

    mtuhumiwa huwa anakuwa amefungwa pingu mikono nyuma sasa alikimbiaje? awashinde police
  5. Nothing4good

    JamiiForums Tanzania Kwanini mwanaume ukikosa kazi mwanamke anakusimanga sana?

    unasema tu hayajakukuta oa kwanza ndio useme ndoa zina mambo mengi sana. unaweza ukawa unasema hivyo kisa hayajakukuta, hivi mfano umeoa na unafamilia na ndio umekosa kazi mama ndio anasomesha wanao na kufanya mule humo ndani, unamfukuza akuachie Watoto au unavumilia? ndoa zinahitaji uvumilivu...
  6. Nothing4good

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Ndoa yangu ina miaka 7, nimegundua mume wangu alinificha ana mtoto wa miaka 8

    huyu mwanaume ni mtu wa ibada sana huwezi kuamini kama anaweza kufanya huu uchafu. kipindi yupo katika uchunguzi walikuwa wanaenda Kanisani wote lakini hakuwahi kuacha kushiriki mwili wa kristo kwa wale wakatoliki wanaelewa mtu anakomunika akiwa katika hali gani.sasa kweli inawezekana kasha tegwa.
  7. Nothing4good

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Ndoa yangu ina miaka 7, nimegundua mume wangu alinificha ana mtoto wa miaka 8

    Tumpe ushauri huyu dada. Ndoa yangu ina miaka 7 ila uhusiano wetu una miaka11. Nina watoto 2 na sasa ni mama kijacho. Mwaka Jana mwishoni nilipata kuwashwa ukeni nikaenda kupima nikaambiwa nina ugonjwa wa zinaa, nikatibiwa na nikaambiwa na mume wangu akatibiwe, nikamwambia hali halisi...
  8. Nothing4good

    JamiiForums Tanzania Mwenye Vitabu Hivi Tuwasiliane Nimjaze Mapesa

    Harry Potter and the Philosopher's Stone by JK Rowling (Bloomsbury, 1997) The Colour of Magic by Terry Pratchett (Collin Smythe, 1983) The Blue Guitar by David Hockney (Petersburg Press, 1976) One Flew Over the Cuckoo's Nest by Ken Kesey (Viking, US, 1962) The Great Gatsby by F Scott...
  9. Nothing4good

    JamiiForums Tanzania Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

    dah inauma sana. lakini mapenzi haya jamani. wanaume wanawake wote wanachiti uaminifu in zero. RIP kaka
  10. Nothing4good

    JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba humu ndani

    Mmmmh hongera
  11. Nothing4good

    JamiiForums Tanzania Mwanamke aliye na nia ya dhati, anakaribishwa

    Ni pm ila nimeshaachika Mara mbili
  12. Nothing4good

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    mawazo yakizidi sana unaweza kuwa kichaa.
  13. Nothing4good

    JamiiForums Tanzania huu ni ukweli au uongo

    http://Paid2Refer.com/ref.php?refId=297738 kweli inalipa au uzushi tu. hebu ifungue uione ilivo
  14. Nothing4good

    JamiiForums Tanzania Natafuta Tenda ya unga wa sembe

    kumbe bei rahisi huku nanunua 1000 kg. nahitaji nipo "musoma mara tuwasiliane uniletee.
Back
Top Bottom