Haya jamaa bora wangekuwa wanafundisha masomo ya ujasiriamali.kutufundisha vitu ambavyo havifai kujiajiri inakuwa shida sana.
Na kazi mtu anayoweza kufanya labda umachinga nao ukifanya unakamatwa maana hakuna maeneo rasimi ya kufanyia biashara.
Wakitenga wanaweka nje ya mji yaani...
Kwan kuna mtu alikulazimisha.km ulivyoanza kimya kimya ondoka hivyo hivyo.aliekuambia huku wapo wazuri nani ?
Hahaaaaaaaaaaa. Pole dogo yamekukuta na usirudie tena
Polepole hawezi km anashindwa na Mch.Msigwa na alishiriki kuua baadhi ya mashirika akiwa km mkurugenzi mnataka kumpa uspika akakutane na akina Lisu ambao sheria wanazijua sio za kutafuta.bora wamwambie sita kuliko huyo asiyejifahamu
Tatizo hawa jamaa wa ccm wanajidai hawaelewi ukweli na wanajianinisha kwa kuendelea kuwavika watu tshet.
Nnachokiona ni tar 25 tukamwapishe lowasa basi
Aliwaona ccm wenzake km watoto.watu wanaangaika kutwa kucha kumpigia debe mgombea wao alafu mtu anakuja anasema asipewe.Inauma sana kwa wale wanaccm cha msingi hamieni ukawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.