dudupori
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 1,795
- 1,920
Utakaposikia baada ya uchaguzi viongozi wa kikundi cha UKAWA wanalalamika wakisema wameibiwa kura ndiyo utapata majibu ya swali yako.
CCM hatufanyi siasa za kupiga kelele.
Uchaguzi ni sayansi katika kupata matokeo chanya.
Baada ya uchaguzi utafahamu maana ya comment yangu.
Watu wa aina yako mnalinganisha kampeni za kikundi cha UKAWA na CCM.
Viongozi wote wakuu wa kikundi cha UKAWA na genge la Lowassa wanakusanyika katika jukwaa moja kwa kila siku.
Mkuu kaa kimya usiyashtue hayo manyumbu usingizini, mda si mrefu yataanza chinjana yenyewe.