Didas Masabuli asubiri kuapishwa tu

Didas Masabuli asubiri kuapishwa tu

Labda aapishwe kuwatumikia wananchi wa mbagala ila sio jimbo letu ubungo. Mtindo wake wa kutoa watu toka mbagala waje kushangilia mikutano yake ubungo tumeshaushtukia. Ubungo tunazungusha mikono tuuu... kubenea ndo mpango.

Mbagala ya wapi tena???? huku tupo speed 120 mbunge wa cuf na Edo. Garbage za Masaburi pelekeni kwenye trush
 
Angegombea uwenyekiti wa mtaa angeleta upinzani mtaani kwetu ila hiyo nafasi ni refu kwake
 
Aapishwe kwa jimbo gani?Hilihili jimbo langu la Ubungo?
Muambie asahau na aanze kutumia dawa za pressure mapema maana tutakachomfanya hatoamini macho yake.

Well said....wamkatie ticket ya kwenda Appolo india kwa matibabu na si ajabu wakianza hata kuandaa kaburi...maana hata madaktari wa india wameshaichoka ccm na makada wake
 
Masaburi hupati kura yangu hata iweje kubenea ndo mbunge wa ubungo anayesubiria kuapishwa
 
Kuapishwa aanze kujibu mashitaka yake @ICC ..?
au kuapishwa awe mwenyekiti wa serikali ya mtaa.
 
Kama umepiga hela Zak subir jpil acha kudanganya watu cr ya kula anaikua mpigaj.

Nimepata tabu sana kumtambua huyo Masaburi. Yaani yeye na Salva Kiir Rais wa Sudan Kusini copyright, jamani wengine wana bahati. Yaani unafanana na Rais!
 
Mbezi walisahau kutanguliza watu uwanjani. Makufuli akashindwa kuhutubia. Masaburi na mabasi ya UDA alitakiwa ajaze watu zaidi ya hapo
 
Utakuwa umejichokea masaburi atumie uda kubeba watu na siku ya kura akawabebe pia.
 
Back
Top Bottom