rr4
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,963
- 5,890
Jamani, watu kama kumbikumbi.
NOTE: hakuna aliyebebwa na gari, hakuna aliyepewa elfu kumi, hakuna aliyepewa tshirt au kofia.
Tshirt, madera, kofia zilikuwa zinauzwa sana pembezoni mwa uwanja wa mashujaa.
Nimeangalia ule umati nikatoa machozi. Juzi niliuona wa Magufuli ila ilikuwa poa tu, watu wachaache na wengi wao waliletwa.
Ilikuwa ukitoa mguu mtu ameweka, polisi wamebung'aa tu hawajui wafanyeje. Mahakama kuu ipo pale pembezoni, wafanyakazi wote wapo kwenye fensi, macho na masikio kwa lowassa.
Tukatae tukubali, watu kama hawa huja katika kipindi cha mabadiliko na kipindi chenyewe ndo hiki.
TUNZA KICHINJIO CHAKO, TUKUTANE 25 OKTOBA.
GOD BLESS YOU MY PRESIDENT.
PIPOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
NOTE: hakuna aliyebebwa na gari, hakuna aliyepewa elfu kumi, hakuna aliyepewa tshirt au kofia.
Tshirt, madera, kofia zilikuwa zinauzwa sana pembezoni mwa uwanja wa mashujaa.
Nimeangalia ule umati nikatoa machozi. Juzi niliuona wa Magufuli ila ilikuwa poa tu, watu wachaache na wengi wao waliletwa.
Ilikuwa ukitoa mguu mtu ameweka, polisi wamebung'aa tu hawajui wafanyeje. Mahakama kuu ipo pale pembezoni, wafanyakazi wote wapo kwenye fensi, macho na masikio kwa lowassa.
Tukatae tukubali, watu kama hawa huja katika kipindi cha mabadiliko na kipindi chenyewe ndo hiki.
TUNZA KICHINJIO CHAKO, TUKUTANE 25 OKTOBA.
GOD BLESS YOU MY PRESIDENT.
PIPOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO