Recent content by Nonji

  1. Nonji

    Sample za milango mizuri ya mbele

    Habari wajenzi? Naomba kuona sample za Milango ya chuma ya mbele.
  2. Nonji

    Utaondokaje ukiwa na deni?

    Niliomba tu Kwa kuandika barua ikasainiwa nikapewa pesa basi
  3. Nonji

    Utaondokaje ukiwa na deni?

    Habari wanaforum! Hivi ikiwa umekopeshwa na mwajiri na hujamaliza deni huku umepata kazi sehemu nyingine ambayo umeona inakulipa zaidi utaondokaje huku inadaiwa na mwajiri huyu wa awali? Msaada tafadhali kama Kuna mtu amewahi kukutana na jambo hili kwenye ajira.
  4. Nonji

    Mume wangu ananisaliti, Usaliti wake unashangaza

    Wanawake mnatumiwa sana shetani kwakweli! Yaani unachoshwa na amani na utulivu ulioopo sasa unatafuta vijisababu vya kutibua? Unachokitafuta utakupata! Ushauri wangu block hiyo account yako ya Instagram na uachane kabisa na huo ujasusi na ushushu wako.
  5. Nonji

    Naomba msaada katika ujazaji wa maombi ya mikopo ya elimu ya juu

    Thanks mkuu. Kuna tatizo pia nimelinote! Kitambulisho cha mama ambaye nimemuweka kama mdhamini jina la mwisho kwenye kitambulisho cha kura limetofautiana na jina la mwisho kwenye cheti cha mtoto yaani jina la mama yake!! Wakuu hapa kutakuwa na madhara?
  6. Nonji

    Naomba msaada katika ujazaji wa maombi ya mikopo ya elimu ya juu

    Asante Mkuu. Mimi namjazia mdogo wangu kwasababu yupo JKT kwa mjibu wa sheria na hii kazi nafanyia ofisini simfahamu mwanafunzi hata moja mtaani. Mimi sijaprint bado niliogopa maana ilikuwa inatoa alert kwamba ukiprint huwezi tena kufanya marekebisho yoyote! Je hakuna kosa nikiprint? Maana...
  7. Nonji

    Naomba msaada katika ujazaji wa maombi ya mikopo ya elimu ya juu

    Wakuu habari!? Naomba msaada katika ujazaji wa maombi ya mikopo ya elimu ya juu. Nimejaza vipengele vyote lakini nimekwama katika hatua za mwisho kwenye Declarations and Signature. Sehemu hizi:- 1. Attach page 2 of your Application form-After being signed and athourised by applicant...
  8. Nonji

    COMBINATION YA HGE

    Naamini pia ninyi mna utaalamu wa mambo ya ajira ni coz gani ambayo ina possibility kubwa ya kupata ajira?
  9. Nonji

    COMBINATION YA HGE

    Ahsante sana mkuu!!
  10. Nonji

    COMBINATION YA HGE

    Habari wakuu? Niende kwenye mada, Hivi form six aliyesoma HGE chuo kikuu atasoma coz gani? Natanguliza shukurani zangu kwenu maana nategemea kupata majibu mazuri.
  11. Nonji

    Tarehe 10 imepita hatuoni tcu guide book 19/20 ikoje hii wakuu

    Wakuu mimi mwenyewe nimekwama kwenye uhakiki wa vyeti RITA nifanyaje?
  12. Nonji

    NAMNA YA KUHAKIKI VYETI RITA

    Asante mkuu. Naomba somo.
  13. Nonji

    Msaada kwa mwenye Div. IV ya point 26

    Wakuu bila shaka wote wazima pande hizi! Niende kwenye mada, Hivi mtu aliyepata division four ya point 26 anaweza kusomea nini maana hajachaguliwa popote?? Msaada tafadhali!
  14. Nonji

    NAMNA YA KUHAKIKI VYETI RITA

    Mkuu namba kwanza kufahamu kwamba nalipia ndo nijisajili au najisajili kwanza maana kwangu bado inagoma
  15. Nonji

    NAMNA YA KUHAKIKI VYETI RITA

    Habari wakuu? Naomba kufahamu namna ya kuhakiki vyeti vya kuzaliwa. Nimejaribu mara kadhaa kufungua account lakini inagoma. Naombeni msaada.
Back
Top Bottom