chukua vidonge kumi vya septrin (co-trimoxazole) uvisage viwe unga, kisha chukua mafuta madogo ya kujipaka meupe yaitwayo babycare. yapunguze yabaki nusu. changanya kwa kukoroga unga wa septrin na mafuta. tumia mchanganyiko huo kupaka mwili mzima baada ya kuoga. fanya hivyo usiku kabla ya...
miaka mitatu iliyopita.nafundisha wanafunzi darasa la form five,akiwemo binti wa kihindi.mazoea yetu ya kibongo kutuma wanafunzi kutununulia bites wakati wa chai. si nikamuita staffroom yule bint. alichoniambia ni "i'm sorry sir,but i can't do that. let me bring some other student(black,for that...
Kijana zito ni msaliti,kwa vwango vyovyote.hata hotuba yake ni dhahiri anajua mustakabali wake kisiasa tokana na madudu anayoendeleza.siyo msomi,wala siyo mwanasiasa wa kuisaidia cdm mahali popote.cdm wamtendee haki yake. Ameshapata alichokitafuta kwenye siasa.fedha na aibu.
mkuu,njaa ni kitu kimoja na kuendekeza njaa ni kingine kabisa. Maisha yoyote bila resillience huishia kwenye matendo ya kikahaba,-na hicho ndicho kinawasumbua hawa wajinga.
Na sio katika siasa tu.
Tanzania imejaa wapiga deal kila kona ya kila sekta,wazee kwa vijana.
Hii ni changamoto...
vizuri sana.
Kwa kweli wengi katika hawa vijana wasomi wenye historia ya serikali za wanafunzi vyuoni ni wa ajabuajabu
nina hakika kwamba kama ni kuchuma,basi chadema wamachuma janga.
Nilikuwepo udsm kuanzia 2005. Nawajua baadhi ya walioshikilia daruso wakati huo ambao wapo kwenye siasa...
you are just thinking,i see. I also thought the same way when at the teacher's college. Have come to change my mind in the field! Acheni kuhubiri yasiyofaa wala kuwezekana!
kumlaumu mwigulu ni au nape ni kuwaonea. Hawa sio chanzo wa dawa ya magamba. Kwa hakika sijui kama hata tatizo la msingi analifahamu,hasa kama mwenyekiti wa chama mwenyewe hana abc za sbb za umaskini wa nchi yetu. Hawa ni vjana tunaoweza kuwasamehe na hata tukasindikizia na glasi ya maji au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.