Would you marry a non believer?

@sun wu

kwa nini hutaki mkeo kama anavuta bangi awafundishe watoto wako?

Na kwa nini unadhani wewe ndo mwenye haki ya kusema mtoto afundishwe hiki na si kile?

Wakati nyote ni wazazi na mna haki sawa kwa watoto wenu?
 
wawarithishe wakati wao wenyewe wako fifty fifty?

Wanaipa dini umuhimu gani??

Ndo maana nikasema inategemea na umuhimu mzazi unaoipa hiyo imani yako ndio nguvu itakayokusukuma kuwafundisha wanao.

Huwezi wafundisha kwa msisistizo kama ww mwenyewe uko mguu mmoja ndani mwingine nje.

Hata huko magharibi wapo wanaohitahidi watoto wao waelewe wanachoamini na hata kufanya kazi hizo hizo, angalia mtoto wa Billy Graham, au yeye si wa maghaibi?

Mkuu nadhani hapa cha maana ni kuwafundisha watoto misingi bora ya maisha upendo, utiifu na kuishi vema kama binadamu sasa kama wewe ni believer na unakwenda kanisani (basi kila jumapili nenda na wanao, sababu hata huko watapata mafunzo ya kuwa binadamu bora na kuishi vema kwa upendo) kama bwana yako sio believer basi haitakuwa vema hawakataze watoto wasiende na wewe kwahio through wewe watoto watapata kile ambacho wewe unakiamini kuwa ni chema (so long as huendi deep na kuanza kuwaambia kuwa imani nyingine hazifai, au wale wasiamini sio wenzetu, yaani kujenga usisi na wao).

kwahio kwa ufupi kama imani ya partner wangu inamfanya mtoto wangu awe a better person sioni tatizo hata kama mimi siamini hio imani cha maana ni wewe mzazi kumuonyesha mtoto kwanini unaamini A, B na C na kujibu maswali yake na sio kumuambia kwamba hii ndio alfa na omega na hakuna kufata vinginevyo, after all kama wewe mzazi umeona imani yako imekusaidia as a person sio vibaya kuwapa watoto chance na wenyewe wafanikiwe kama wewe ila sio vema kutaka wawe kama wewe na sio vinginevyo
 
@sun wu

kwa nini hutaki mkeo kama anavuta bangi awafundishe watoto wako?

Na kwa nini unadhani wewe ndo mwenye haki ya kusema mtoto afundishwe hiki na si kile?

Wakati nyote ni wazazi na mna haki sawa kwa watoto wenu?

We all know Bangi is illegal na ina madhara according to research, ni vile vile kama pombe ina madhara na sidhani kama kuna mzazi atawafundisha wanae kuvuta bangi au kulewa.., (even if yeye mwenyewe analewa, ni kama mzinzi hawezi kupenda wanae wawe wazinzi)

Ila katika imani kama imani hio bottom line inafundisha upendo na kuishi kwa utiifu sioni tatizo na kama mimi binafsi siamini hio imani I cant be a better teacher bali kwa partner wangu ambae ndio anaamini atakuwa a better teacher., ndio maana nikasema kwa anayeamini ndio atawaonyesha watoto anaamini nini na kwanini na kuwapeleka hata kwenye mafundisho (kumbuka na hapa sio kuwa-force bali kuwaonyesha ni nini nafata na kwanini). Kwahio hata kama ni kwenda kanisani sitawakataza watoto kama najua wanakwenda kupata mafunzo mazuri.., ila kama ni imani ya kichawi (bottom line ni kuwa watu wabaya) basi sitamruhusu awapeleke huko
 
Kuna mwengine atasema hataki kuoa/kuolewa na mtu wa kabila jengine, kwa sababu watoto sasa watarithi mila na tamaduni za wapi? .....


Tubadilikeni Watanzania
 
sidhani ni kitu cha kusema tu tubadilike.
Ni jinsi ulivyolelewa na exposure uliyonayo ndio inakufanya uweze kuwa hivyo ulivyo.

Ni kweli kabisa, wengine hata kabila tu ni ishu.

Sasa inabidi kujitathmini wewe mwenyewe kama unaweza beba consequenses zake.

Kuna mwengine atasema hataki kuoa/kuolewa na mtu wa kabila jengine, kwa sababu watoto sasa watarithi mila na tamaduni za wapi? .....


Tubadilikeni Watanzania
 
@mwali

siwezi sema ndio au hapana kwa ulichojibu.

Wewe unaona poa tu, muoane mkristu/mwislam/asiyeamini as long as kuna morals, values na utu.

Rejea, umeishi/umekulia katika mazingira gani? Yalikuwa na mwingiliano huo? Au umekuwa exposed kwenye maisha ya style ipi?

Exposure yako ndio inayokufanya uipe imani yako umuhimu kiasi gani. Vivyo hivyo ndio nguvu utakayoitumia kuwafundisha watoto wako.

A strong believer(uliosema awali extremist) atamfundisha mtoto wake kwa umuhimu huo huo, moderate naye atafundisha kwa nguvu moderate na a weak believer halikadhalika atawafundisha kwa nguvu ile ile.

Ili uweze oa/olewa na a non- believer inategemea wewe kwako imani ina umuhimu kiasi gani. Sidhani kama ni suala la kwamba wasioamini ni watu wabaya sana.
Nao wana miiko yao kutokana na general common sense za maisha tu.
Sawa kabisa Kongosho. Mi sijasema kua ninavo ona mimi ndio sawa.
Boflo kauliza, na amesema kila mtu atoe maoni yake. Mi nimetoa yangu (definitely yes)
Wewe umetoa yako (unasema it is relative), wengine wametoa a categoric NO
Zote ni jibu sahihi, sababu kila mtu anasema kama vile anaamini yeye.
Kama tunaendelea kuchangia ni kueleweshana sababu tu, sio kupinga uamuzi.
 
@mwali, hivi nimekupinga?

hebu ngoja nipitie tena, lugha nayo ni kazi sana.
Ndo maana mtu akisema 'piga mbizi' au 'vijisenti' sio kwamba anataka kuwa 'rude'

ni uumbaji na uchaguzi wa maneno tu Mwali wangu ndo tatizo, labda na msisitizo.
 
sidhani ni kitu cha kusema tu tubadilike.
Ni jinsi ulivyolelewa na exposure uliyonayo ndio inakufanya uweze kuwa hivyo ulivyo.

Ni kweli kabisa, wengine hata kabila tu ni ishu.

Sasa inabidi kujitathmini wewe mwenyewe kama unaweza beba consequenses zake.

Malezi yana ukomo wake kwenye uwezo wa kuchochea mawazo na tafakuri ya mtu.

Mtu anatakiwa kuchambua yeye mwenyewe ethics, morals and traditions, na sio kufuata kwa sababu ndizo alizofundishwa na wazazi wake.

Matokeo ya kufata kila cha wazazi tu, ni kukuta mtu anakuwa mbaguzi kwa sababu tu wazazi wake wako hivyo.
 
Ili uweze oa/olewa na a non- believer inategemea wewe kwako imani ina umuhimu kiasi gani.

Asha anabadili dini aolewe na John
badala ya kumpokea Yesu kwanza anamridhia wakumwoa
ndio maana ndoa zikivunjika kila mtu anarejea kwenye dini yake

(wengi wameshika dini bila kuwa na imani)
 
Atheists wapo wengi, kuna wengine Neo-Nazis na wengine secular humanists, so kutuweka wote katika fungu la "mlikuwa" kama vile tuna organization moja ni kutulundika, wengine hatutaki kulundikwa.

Well, haikuripotiwa ni atheists wa aina gani na Richard Dawkins ilisemwa angekuwepo.

Anyway, it's not an issue and it was not an attempt to lump anyone with anything. It was just a simple question of yes or no.
 
Back
Top Bottom