Kama unakunywa maji punde ukimaliza kula, au kula vyakula vilivyokangwa ka chipsi inasababisha hilo tatizo,jitahidi usinywe maji ndani ya nusu SAA baada ya kula
Hiyo siyo nzuri Luna watu wanakaa bar wakinywa zaidi ya saa tano isitoshe mwafrika anataka akiwa anakunywa aone ikipanda kichwani na siyo kunywa juice ulewe baadae,kitu bia inatakiwa na ka uchungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.