Kazi ya policcm kama walivyoelekeza na mizengwe wakupinda ni KUPIGA TUUU. Tena wananchi wasi na hatia lakini kwa majambazi na vibaka naona policcm watakuwa wameambiwa WACHEKE TUU
ahsante meneja muajiri (mtoa ajira) katika kampuni hiyo ametudhihirishia wazi kuwa watumishi wake hawana sifa za kitaaluma ila kuna somthing behind the pazia. Hahahahaha, 4x4 = 18 sijui ni hesabu za nchi gani hizi.
Halafu mdada huyo alikuwa anaongea kwa mapozi utadhani ndio anajifunza...
wewe mwenyewe sina uhakika na elimu yako, aya moja makosa kibao. ukiambiwa kuandika insha si utaishia kuandika matusi?
waitimu?????????????? wahitimu
nersing??????????????? nursing
mgojwa?????????????? mgonjwa
awajui??????????????? hawajui
hanaumwa??????????? anaumwa
uwaziri wenyewe kapewa kindungu na Jk halafu analeta kidomodomo? Yeye mwenyewe ana wivu uliopitilisha na visasi . Waulizeni wakurugenzi wa halmashauri watasema juu ya ubaya wa huyu gasia a.k.a FUJO
Duh! Mkulima wa ndizi pale kishumundu atamudu gharama za kitanda 35,000 kwa siku? achilia mbali hizo milioni za OP.
EE Mungu 2hurumie viumbe wako utuponye na utujalie afya njema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.