Kauli ya Pinda Bungeni haina utata kisheria?

Kauli ya Pinda Bungeni haina utata kisheria?

Mkurugenzi mtendaji wa kituo cha sheria na haki za binadam LHRC BI HELLEN KIJO BISIMBA amesema waziri mkuu Mizengo Pinda amevunja katiba kwa kusema polisi wawapige raia. Amesema kiongozi mkubwa kama yeye si vema kutamka maneno kama hayo.

Dw.
Hilo la kuvunjwa katiba linajulikana.....labda Bi. Bisimba angesema ni hatua anachukua au anahamasisha zichukuliwe dhidi ya huyo Mfalme wa Nyuki i.e. Beelzebub
 
Inabidi Watanzania tuelewe kuwa nchi ilishawekwa kwenye 'auto pilot' ya vyombo vya dola kwa muda sasa.Hivyo PM alikuwa anathibitisha tu..
 
Hivi Lisu na Marando hawawezi kumfungulia mashtaka ya uvunjifu wa makusudi wa katiba na matamshi ya kihuni? Yaani hili jamaa pinda kama linavuta bangi mbaya zaidi linaonesha huwa linavuta asubuhi kitu ambacho ni kibaya sana
 
Kwanza, Hellen Kijo - Bisimba - Omba copy kwa Mh. Mbowe, peleka ICC.

Second Mama, Itisha Maandamano ya kupinga mauaji ya Polisi

Matamko everyday bhanaaa!!!!

Lets be people of action now. Ama na wewe mama unaogopa kutolewa kucha na meno....

Basi kwa taarifa yako, hata kwa haya matamko watakutoboa jicho....

So, ungana na wakina Deus Kibamba, lianzishe na wananchi wamechoka. Wananchi wanataka tu mtu atakae waunganisha. Only that.... Hata madokta wanaweza kutusaidia, hata waalimu. TUCTA si waamini sana....
 
Eti haki za binadamu? Yani uyo mama cjaona anachokifanya kbsa wanaongea tu action hatuoni anaboa sana uyu mama
 
Pinda mnafiki, alikuwa anajiliza nini bungeni wakati wa mauaji ya alibino wakati saivi anaruhusu mauaji live?

Au ndo kuzeeka kimawazo?
 
wanaojua sheria watuaambie sheria inasemaje juu ya hao watu wakaidi, mleta uzi alitakiwa kua wa kwanza kujiuliza swali hili na ikiwezekana kulipatia jibu

na anayesema hivyo sheria inasemaje?
 
Lakin hiyo Haihalalishi Pinda kuvunja katiba,

Hoja kuu,ni kwamba pinda kavunja katiba full stop...!!

Hebu ainisha ni ibara gani ya katiba Mhe Pinda ameipinda au kuivunja na sio kusema bila kujua.
 
Hata wewe unaweza kuweka kifungu katika katiba ambacho kinampa ruhusa Pinda kutoa kauli ya kuwaruhusu polisi kupiga watu.


Hebu ainisha ni ibara gani ya katiba Mhe Pinda ameipinda au kuivunja na sio kusema bila kujua.
 
Bisimba usihofu, hiyo ndiyo style ya CCM kukata roho! Wako hoi na mahututi! Dawa zote walizokuwa nazo za udini, ukanda, ukabila na ugaidi hazifanyi kazi tena! Wako ICU wakipumulia mashine ya polisi na mahakama!! Tumaini lao la mwisho sasa ni mabomu!! Lakini dawa hii nayo haitafanya kazi. Kaburi linawasubiri kwa hamu!!!

Nimekugongea Like .
 
Hata wewe unaweza kuweka kifungu katika katiba ambacho kinampa ruhusa Pinda kutoa kauli ya kuwaruhusu polisi kupiga watu.

Anayelalamika ndio anapaswa kuja na kifungu anachodhani kimevunjwa ili mtetezi aje na utetezi wake, kushindwa kufanya hivyo ni tafsiri kuwa malalamiko hayo hayana mashiko.
 
Mkurugenzi mtendaji wa kituo cha sheria na haki za binadam LHRC BI HELLEN KIJO BISIMBA amesema waziri mkuu Mizengo Pinda amevunja katiba kwa kusema polisi wawapige raia. Amesema kiongozi mkubwa kama yeye si vema kutamka maneno kama hayo.

Dw.
Huyu shori nae!!! Aagh ngoja nisije kupigwa ban hapa ila huyu mchumba anatumika na wanaomtumia sijui anawapa nini
 
Sio Pinda tu aliyevunja katiba, Anne Makinda alishiriki kubariki ukiukwaji huu mkubwa wa sheria ya nchi uliofanywa na Mizengo Pinda ndani ya Bunge na kushangiliwa na wabunge wa CCM wenye upungufu mkubwa wa busara.
 
Hebu ainisha ni ibara gani ya katiba Mhe Pinda ameipinda au kuivunja na sio kusema bila kujua.


Mimi naona NITAKUPIGA TUH,
EEEH,MAAANA NIMECHOKA SASA KUONA WASHABIKI WA MAMBO YA KIPUUZ PUUZ KAMA NYINYI
 
Back
Top Bottom