Kuna mengi sana kwenye mahusiano. ila sijui kwa nini wanaume wengi wanakimbia majukumu kama mimba ni yako means mtoto ni wako kwa nini usimpe huduma sitahiki kwa sababu kuna leo na kesho.
Ni kweli anakuja kwa kutaka ulicho nacho na anajua kweli unacho habatishi ila ikifikia swala la polisi hapo wanakula pamoja na haki yako hauipati. Ukweli polisi na hao jamaa ni sawa na paka na samaki kila mmoja anapenda. kinacho tula sisi ni polisi wetu.
Ndugu yangu mimi najua na nina minafahamu na nina mambo mengi ya police international na hapa kwetu polisi ukifika
wanaangalia uko vp maswali mengi wakijua wewe mambo yako safi
Ni kweli uongo wa polisi unakubalika. Ukweli wa raia haukubali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.