Recent content by noahmollel

  1. noahmollel

    Biashara ya spare za mashine za photocopy

    Habari mkuu mfuga kuku, nahitaji kuanza biashara hii, naomba msaada wa kujua ni mashine gani nzuri na heavy duty kwa Photocopy na kwa bei nafuu ya chini ya 2M?
  2. noahmollel

    Msaada juu ya Ndago

    Njia pekee ya kupambana na Ndago ni kutifua shamba zima na kung'oa viazi vyake na kuvitupa nje ya shamba au kuchoma. Utapoteza gharama nyingi kununua dawa nyingi lakini usione matokeo chanya kwa siku za baadae
  3. noahmollel

    Fuata hatua hizi chache kupata mashine yako ya Max Malipo

    jamani kwa upande wangu mimi naona mashine ni ghali mno. sio tu ni ghali bali nitumie neno kuwa ni UNYONYAJI. Mimi mwenyewe ninazihitaji sana hizo mashine na nina kila kitu kinachohitajika. Lakini changamoto ninayokutana nayo ni hiyo gharama ya mashine. Haiwezekani Laki Sita yote niwe nalipia...
  4. noahmollel

    Mahitaji ya bidhaa wasiliana nasi

    Mkuu naomba bei ya mashine za Popcorn
  5. noahmollel

    Biashara ya viazi mviringo

    asante kwa ushauri
  6. noahmollel

    Biashara ya viazi mviringo

    Mkuu ulifanikiwa katika hili? na je bado unaendelea.... Naomba msaada wako kwani na mimi nataka kufanya hii kitu. Asante
  7. noahmollel

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Habari, Majipu yapo mengi ila kuna hili la madini nadhani nalo ni la muhimu kama walivyotangulia kusema wengine. Nasema hivi kwa kuwa nina wasiwasi wachache ndio wanaonufaika. Kama unasafiri mara kwa mara kutokea Mwanza kwenda Dar au Arusha hapo katikati utakutana na Malori si chini ya...
  8. noahmollel

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Habari, naomba msaada wenu, nikiweka smart card kwene decoder, ujumbe unatokea wa No acces and Not subscribed, je nifanyaje?
  9. noahmollel

    Ndalichako akata mzizi wa fitna

    Kilichokua kinaniskitisha mtoto aliepata chini ya 50 hapewi sup mpala apass hilo somo.... Ila wanadadavua kinoma. Chuo kufikisha hiyo 50 ni mziki... Ile kweli ilikua siasa
  10. noahmollel

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Bora ugali dagaa mjini kuliko wali nyama kijijini
  11. noahmollel

    usione ukadhani

    Usione wamecomment wawili na mm ni watatu...usione ukadhani
Back
Top Bottom