Recent content by NNYAMBALA

  1. N

    Ndio demokrasia?

    Malafyale pole sana, Tunajua katika dunia hii hakuna anayeweza kutoa uhai wa Mtu ila Mungu tu. Mungu atakuponya ili urudi na kuendelea kuwatetea Wenzio kuliko kuyaachia mafisadi yaendelee kutafuna Nchi na ukombozi wa kweli utapatikana kwa njia nyingi kama ulivyofanyiwa wewe lakini kwa faida ya...
  2. N

    Wivu mbaya

    Mama mmoja alimshuku Mume wake kuwa, anamlamba house girl wao, siku moja bila mume kujua Mama aliamua kumpa likizo ya wiki moja house girl ili aende kwao kusalimia. Akamtega Mume wake akajichomeka chumbani kwa yule Dada na akazima taa na kujifanya amelala, mara akasikia mtu anaingia chumbani na...
  3. N

    Lulu..

    HAPA KANAFURAHI KUWA KAKITOKA KANAENDA KUOLEWA NA YULE TUMBO TUMBO KOMBAAnalia!!!!
  4. N

    Mambo ya Mayenu; hii Ngoma ilikuwa kali sana aseeee!!

    Kwani wewe nani kakuambia ni Reggae na si mayenu?
  5. N

    Miss...

    Kama hutaki awe Miss wa huko, basi uwe Miss wewe. Ha! ha! haaaaaaaaa!!!!
  6. N

    Muwasho

    Hiyo siyo kebehi, bali hili ni fundisho kwa kila Mtu na siyo kwamba tunamhukumu, pia ni ni fundisho kwa Wazazi wote japo kizazi hiki ni kigumu lakini huyu Mtoto alianza mambo tangu kitambo na Mimi nimekuja kushangaa eti alikuwa anasoma. Mtoto kutwa nzima kwenye magazeti yeye na ndiye yeye...
  7. N

    Muwasho

    Mtoto amevaa nguo zinamusha mpaka analia.
  8. N

    tuache utani ana sura mbaya akiwa anasema uongo bungeni tena kwa hasira

    Unataka awe na sura nzuri kwani yeye Demu?
  9. N

    Kata zilizoko wazi mpaka leo!

    Kata kitu gani tunataka kuongeza wale Jamaa wa mjengoni.
  10. N

    huyu MMASAI niaje?

    Huyu jamaa amekalia ile jamaa inyomezwa na mwenzake.
  11. N

    Mmasai

    Alikuwa mmasai wa ukweli, aliposema mkewe atiwe mbele alimaanisha akae kule kwa Dereva na Yeye atiwe nyuma alimaanisha akae kule anakokaa Utingo.
  12. N

    Mmasai

    Mmasai mmoja alikuwa anasafiri na Mkewe, usafiri ulikuwa wa shida lakini bahati nzuri likaja roli na Mmasai akawaomba wenye gari wantie mbele Mke wake na Yeye wamtie nyuma.
  13. N

    Kipindi cha heshima hiki!

    Hii heshima na adabu aliyonayo ni dangaanya toto na ni ya kipindi hiki tu cha uchaguzi na akijaliwa kushinda anahama kabisa hapo igunga.
  14. N

    MALIASILI UPDATES: Makinda Aipangua hoja ya dharura ya Wenje kuhusu umeme

    Baada ya Mbunge wa Nyamagana kulieleza na kuomba Serikali ieleze mgao huu wa umeme ambao umeyakumba Mijiji ya Mwanza, Arusha, Mbeya na ....kwa kukosa umeme cku 4 na Spika Mama Anna kuwambia serikali walete majibu. Serikali imeleta majibu kwa hapa Mwanza umeme upo, Vipi huko Arusha, Mbeya na...
  15. N

    Bunge la Vijana na mitindo

    Vijana wa leo, jana au juzi?
Back
Top Bottom