huyu MMASAI niaje?

Mchochezi

JF-Expert Member
Feb 29, 2012
10,416
6,577
jaman katika watu wanaojifanya wabishi wamasai wanaongoza, sasa huyu jamaa yuko uchi halafu nashindwa kuelewa amekalia nini? hebu jionee mwenyewe.............View attachment 52320
 
huenda ni mazoezi yao huko kwao maanda hawana goz kwamba watacheza uwanjani!!
Mhhhh!! lakin inatisha hadi karne hii ya mchina wenye bado wako hiv?
 
huenda ni mazoezi yao huko kwao maanda hawana goz kwamba watacheza uwanjani!!
Mhhhh!! lakin inatisha hadi karne hii ya mchina wenye bado wako hiv?

hao jamaa bado wana utamaduni wao ndo maana hawana habari na utandawazi
 
Hawa si wamaasai ni watu wa karamajong mpakani mwa Uganda na Sudan wanajua sana kucheza na bunduki hasa K47 na LMG WANAUWEZA WA KUPIGA CHUNGU KILICHOWEKWA KICHWANI KWA MTU KUAZIA KIJANA MDOGO WA UMRI WA MIAKA 12 Bastola zote wanaona silaha za kuwindia ndege tu hizo nilizotaja wanatumia kwenda nazo kuchunga ng'ombe, familia masikini ndio wanakuwa silaha unazoona ktk picha
 
Huyu hata akitupiwa dudu hata sikia kitu kwa uzoefu aliokuwa nao akija mjini atatengeneza pesa mingi sana
 
Back
Top Bottom