Naomba kufahamishwa mimi kama mjasiriamali mdogo ni biashara gani naweza kufanya zikaniinua kiuchumi maana mtaji nilio nao ni mdogo.
Kama zitakuwa hata ni za kuingiza 10,000 kwa siku sawa tu.
Zaidi soma: List ya biashara zenye mtaji mdogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.