Sheria iko wazi wewe kiherehere cha nini? Nafasi ya kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni inakwenda kwa chama cha upinzani chenye wabunge wengi bungeni na siyo nafasi ya kupeana tu
Wewe kweli screpa unashangaa vitu vidogo kama hivyo badala ya kushangaa wizi wa kura watu kukamatwa na maboksi takwimu za kura kutofautiana za majimboni na zinazoletwa NEC, na mabomu yanayolindima kila kona baada ya wagombea wa UKAWA kushinda.
Kwa umri wake ni kawaida wala hajaexpire sasa ulitaka awe kama alivyokuwa kwenye 18's amekula ujana wake na sasa amekuja kupumzika na mzee mwenzie. Na alichokisema siku za nyuma alikuwa anakimaanisha "Kwamba nakuchukia, sikupendi, kwanza wewe sio handsome kama flan na flani, hatuendani, hivyo...
Nimejifunza mengi sana wadau kwani hata mimi jana nilikuwa mlimani city nikaiona hiyo tecno C8 niliitamani sana nikataka niinunnue lakini nikaona nivute subira hadi j.3 ndo niende kununua. kama mambo ya tecno ndo hayo siendi kununua tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.