Inasikitisha sana..nadhani wanashangaa sana anavyotukanwa.wakienda kwa wenzetu kupiga mziki kama congo,na kenya na burundi.wanafurahi hatari hapa bongo wanatukanwa tu..inasikitisha kweli kama mtu ajasoma au nini tatizo..mbona wengi wamesoma na hawana lolote..
Loh..tuko wengi kumbe..mimi mpaka nazijua cartoon.maana jamaa wanaangalia sana,mimi wangu nimeanza kumkatiza sasa maana anaenda 6yrs...akitoka shule saa sita anafika saa saba anakula anapumzika..ikifika kama kumi.na mbili na nusu.anasoma kama 1hr halafu anakaa moja kamili chakula na nusu...
Mbona ile mvua kubwa alitoka..na walikuwa wawili na jike lilichukuliwa na wazungu muda kidogo..na asubhui mida ya saa 4 nasikia uwa anatoka kuota jua waendaji kibo wanasema kazoea watu..hatari
Mimi nakaa kama mtaa mmoja tuko hapo bar,nilikuwa naogopa sana.nasikia walikuwa wawili jike alichukuliwa na wazungu ndio dume likabakishwa na nilivyosikia mali asili wanajua..ni story ndefu nasikia wazungu ndio waliwaweka hapo toka wadogo.
Panaitwa kibo bar..kama unatoka bestbite unashuka chini na hiyo barabara mbele kidogo kulia ndio kuna hiyo bar..ninacho shangaa kafikaje huko.tht maana ni mbali na block 41
Jamani pole..mafuta ya taa ni hatari..hope umemuwaisha hospital na ukirudi waambie hao waliokuwa na mtoto vitu kama mafuta ya taa sio vya kuweka ovyoovyo..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.