Dada Zangu Nawaombeni mnisaidie

Dada Zangu Nawaombeni mnisaidie

Attachments

  • 900px-Use-a-Tampon-Step-12-Version-2.jpg
    900px-Use-a-Tampon-Step-12-Version-2.jpg
    48.9 KB · Views: 367
truddy tunaomba msaada wako hapa



Hapana huchomoi inabaki ilipo haihusiani na kwenda haja ndogo, unajisaidia kama kawaida huhitaji kuitoa na kurudisha.
Wkt unaweka kuna kijikamba lazima kibaki kwa nje ili ukimaliza matumizi nayo unaivuta na kuitupa.
Ni rahisi sana kutumia na confortable.
 
Last edited by a moderator:
Jamani Dina........kukojoa si ni sehemu nyingine tofauti........

Kwa Hiyo Hapa Unataka Kutuambia Kuwa Nyie Dadaz Zetu Kumbe Mna Ze Three Toboz Badala Ya Zile Two Toboz Tunazozijua? Fafanua!
 
Hapana huchomoi inabaki ilipo haihusiani na kwenda haja ndogo, unajisaidia kama kawaida huhitaji kuitoa na kurudisha.
Wkt unaweka kuna kijikamba lazima kibaki kwa nje ili ukimaliza matumizi nayo unaivuta na kuitupa.
Ni rahisi sana kutumia na confortable.

Akhsante Dada Na Shikamoo!
 
Lakini Mbona Nasikia Ule Ubaridi Wake Una Madhara Ktk TUNDA La Moyo?

Sijui kwani bado sijaona madhara.

Kuna mdau kasema zinaitwa tampon

OK

mfano wake huu hapa

ok nimeelewa

Hapana huchomoi inabaki ilipo haihusiani na kwenda haja ndogo, unajisaidia kama kawaida huhitaji kuitoa na kurudisha.
Wkt unaweka kuna kijikamba lazima kibaki kwa nje ili ukimaliza matumizi nayo unaivuta na kuitupa.
Ni rahisi sana kutumia na confortable.

Jamani sasa hizi si zitakuwa zinatoa bikra za mabinti.
 
Yeah.ndo hizo...hasara ni zipi???

Moja ni kupata Toxic Shock Syndrome kama akiwa mvivu wa kuzibadili kama inavyoshauriwa.

Kama ana heavy flow( damu kutoka kwa wingi sana) atalazimika kutumia hiyo na pads za kawaida na hivyo kujiongezea gharama tu. Pia haishauriwi kutumia usiku hivyo lazima kutumia pads za kawaida.

Pia tafiti zinaonyesha tampons ni moja wapo ya kichocheo kinachoweza kukuza fibroids kama mtu anazo lakini bado ndogo.
 
Kwanini haumuulizi mama'ko anatumia nini?

Wewe Sina Shida Na Wewe Na Najua UNACHOKITAFUTA Kwangu Na Leo Nasema Tena Sitaki Mazoea Na Mbwa Wewe Humu Na Sihitaji Hata Uwe Unachangia Threads Zangu Kama Ambavyo Mimi Huwa Sichangii Threads Zako Na Kiukweli SIKUPENDI Na UNANITIA KICHEFUCHEFU Na HUNA TOFAUTI NA KINYESI CHANGU NILICHOTOKA KUKITOA MUDA SI MREFU. Kuna Akina Dada Humu Nawaheshimu Na Napenda MICHANGO Yao Na Nawashukuru Wamechangia Kwa Uwingi Na Nimeelimika Sana Tu. Mtu Mzima Lakini Lumpen Kabisa Na POPOMA Uliyetukuka. Endelea Tu Kunifuatafuata Na Nyie Mnaosema Mimi Huwa Nakuwa MKOROFI Sasa Naomba Niwaone Mkijitokeza Ktk Hili Na Mseme Mimi BINADAMU Na Huyu MBWA KOKO FaizaFoxy Ni Nani MKOROFI Na Anastahili Lawama. Huko Nyuma TULILUMBANA HUMU Na Nikaamua Binafsi Kuachana Nae Lakini Namshangaa Kuwa Anapenda Mno Kunifuatafuata Na Cha Kushangaza Post Yake Hii Ameituma Muda Mrefu Tu Lakini Sijaona Member Yoyote Akikemea Lakini Naamini Hivi Ninavyomjibu Wataanza Kujitokeza Watu Kunilaumu Na Nawasubiri WANAFIKI MJITOKEZE ILI Niwafungulieni KOKI Yangu. Kama Uzi Hujaupenda Kuna ULAZIMA UCHANGIE? au UNANITAKA? Endelea Kunichokonoa NIKUANIKE HUMU WEWE NI NANI, UPO WAPI Na UNAFANYA NINI Na Kama UNADHANI SIKUJUI Na Sijakujua Endelea Kujipendekeza Kwangu.
 
Moja ni kupata Toxic Shock Syndrome kama akiwa mvivu wa kuzibadili kama inavyoshauriwa.

Kama ana heavy flow( damu kutoka kwa wingi sana) atalazimika kutumia hiyo na pads za kawaida na hivyo kujiongezea gharama tu. Pia haishauriwi kutumia usiku hivyo lazima kutumia pads za kawaida.

Pia tafiti zinaonyesha tampons ni moja wapo ya kichocheo kinachoweza kukuza fibroids kama mtu anazo lakini bado ndogo.

Nimekusoma mkuu
 
Heeeee nifah @ms Lincoln mkuje muone huku kuna ban ya nguvuu
 
Last edited by a moderator:
Wewe Sina Shida Na Wewe Na Najua UNACHOKITAFUTA Kwangu Na Leo Nasema Tena Sitaki Mazoea Na Mbwa Wewe Humu Na Sihitaji Hata Uwe Unachangia Threads Zangu Kama Ambavyo Mimi Huwa Sichangii Threads Zako Na Kiukweli SIKUPENDI Na UNANITIA KICHEFUCHEFU Na HUNA TOFAUTI NA KINYESI CHANGU NILICHOTOKA KUKITOA MUDA SI MREFU. Kuna Akina Dada Humu Nawaheshimu Na Napenda MICHANGO Yao Na Nawashukuru Wamechangia Kwa Uwingi Na Nimeelimika Sana Tu. Mtu Mzima Lakini Lumpen Kabisa Na POPOMA Uliyetukuka. Endelea Tu Kunifuatafuata Na Nyie Mnaosema Mimi Huwa Nakuwa MKOROFI Sasa Naomba Niwaone Mkijitokeza Ktk Hili Na Mseme Mimi BINADAMU Na Huyu MBWA KOKO FaizaFoxy Ni Nani MKOROFI Na Anastahili Lawama. Huko Nyuma TULILUMBANA HUMU Na Nikaamua Binafsi Kuachana Nae Lakini Namshangaa Kuwa Anapenda Mno Kunifuatafuata Na Cha Kushangaza Post Yake Hii Ameituma Muda Mrefu Tu Lakini Sijaona Member Yoyote Akikemea Lakini Naamini Hivi Ninavyomjibu Wataanza Kujitokeza Watu Kunilaumu Na Nawasubiri WANAFIKI MJITOKEZE ILI Niwafungulieni KOKI Yangu. Kama Uzi Hujaupenda Kuna ULAZIMA UCHANGIE? au UNANITAKA? Endelea Kunichokonoa NIKUANIKE HUMU WEWE NI NANI, UPO WAPI Na UNAFANYA NINI Na Kama UNADHANI SIKUJUI Na Sijakujua Endelea Kujipendekeza Kwangu.

Achana na hili jini Maryamu, mimi nilishampuuza siku nyingi tu wala hanipi tabu tena.
 
Achana na hili jini Maryamu, mimi nilishampuuza siku nyingi tu wala hanipi tabu tena.

Kama Ana Agenda Yake Binafsi Na Pengine Ametumwa Kwa Makusudi Ili Ani Provoke Kisha Wafanye Yao Nipo Tayari Kwa Lolote. Huwa Napenda Mno Kushirikiana Na Watu Humu ILA Huyu Dada SIJUI ANANITAFUTIA NINI HUMU JF. Mimi Mbona Simfuatifuati? au Anadhani SIMJUI KIUHALISIA YEYE NI NANI? Namweshimu Tu Na Namtunzia SIRI ILA NIMESHAMJUA A TO Z Na Kama Haamini Aendelee Kunichokonoa. Napenda Sana Utani ILA Comments Za Huyu Dada Kwangu Huwa Ni Za Kunichokoza Na Ni Kama Vile Kuna Watu Wanamtuma Kwa Maslahi Yao Na Sidhani Kama Huwa Anakemewa ISIPOKUWA GENTAMYCINE Akijibu Tu Utaona Ninavyolaumiwa Na Kushutumiwa Humu. Na Hapa Sasa Ndiyo Nitawajua WANAFIKI Na WAKWELI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom