Kwa maisha ya sasa minne ni mingsana na mungu akubariki tulia na huyo mkeo utafanikiwa.
Aksante sana Iron Lady
Huja kkosea kweli. Ndoa 4 years.
First born 4 years ina maana mrs kurunzi ulimwoa akiwa na mtoto. Ulichagua vema maana hukutaka kuoa tasa.
ndoa yangu ina miaka sita. tulioana 2008, Mungu alichelewesha kidogo kupata watoto, hivyo mtoto wetu wa kwanza tulimpata january 2011. lakini toka mwaka 2011 hadi leo (miaka mitatu), ndani ya miaka mitatu Mungu ametubariki na watoto watatu. mtoto wa kwanza single, uzao uliofuata hapa juzi ni mapacha. sifa na shukrani kwa Mungu. ila miaka tangu 2008 hadi 2011 ilikuwa michungu sana kwetu (mimi na mke wangu), tunamshukuru Mungu tulishikamana tukapuuzia maneno ya ndugu wa pande zote mbili. waliotaka twende kwa waganga wa kienyeji kutafuta watoto tuliwabeza. ndugu zetu wengine wanafanya dawa za kupata watoto na uchafu wote huo. lakini sisi tulimsubiri Mungu tukitaka watoto tutakaopata wawe wametoka kwa Mungu, sio watoto wa kishetani/kiganga na kichawi.Wanabodi tarehe kama ya leo miaka minne iliyopita sitaishau kwenye maisha kwani ni siku niliyofunga ndoa na mke wangu mpendwa mrs Kurunzi nakumbuka ni mwaka mmoja baada ya kuwa member kamili hapa bodini.
Munguu mkuu katika miaka hiyo mnne tumebarikiwa kupata watoto wawili a girl 4yrs and a boy 1.5yrs.
aisee hongera sana na wanatosha
ndoa yangu ina miaka sita. tulioana 2008, Mungu alichelewesha kidogo kupata watoto, hivyo mtoto wetu wa kwanza tulimpata january 2011. lakini toka mwaka 2011 hadi leo (miaka mitatu), ndani ya miaka mitatu Mungu ametubariki na watoto watatu. mtoto wa kwanza single, uzao uliofuata hapa juzi ni mapacha. sifa na shukrani kwa Mungu. ila miaka tangu 2008 hadi 2011 ilikuwa michungu sana kwetu (mimi na mke wangu), tunamshukuru Mungu tulishikamana tukapuuzia maneno ya ndugu wa pande zote mbili. waliotaka twende kwa waganga wa kienyeji kutafuta watoto tuliwabeza. ndugu zetu wengine wanafanya dawa za kupata watoto na uchafu wote huo. lakini sisi tulimsubiri Mungu tukitaka watoto tutakaopata wawe wametoka kwa Mungu, sio watoto wa kishetani/kiganga na kichawi.
napenda kuwaambia watu ambao hawajapata watoto kwa muda sasa, labda umehangaika sana kutafuta watoto. watoto ni zawadi toka kwa Mungu, na Mungu ndiye huwa anatoa watoto. jaribu kujitoa mhanga, mwamini Mungu tu, achana na wachawi. na Mungu hatakuangusha. ndani ya miaka mitatu tumepata watoto watatu na maisha yetu yametengemaaa, tulipooana uchumi wetu haukuwa mzuri na watoto wetu wangezaliwa kipindi kile wangepata shida. Mungu akatupatia kwa wakati wake stahiki, ndio maana bora kumsubiri Mungu katika kila kitu. Bwana Yesu asifiwe!
Huja kkosea kweli. Ndoa 4 years.
First born 4 years ina maana mrs kurunzi ulimwoa akiwa na mtoto. Ulichagua vema maana hukutaka kuoa tasa.
Nami November this year nitakuwa na miaka minne with one lovely baby girl with 8 months.may god bless us all.furaha na mafanikio yazidi kutawala familia zetu.wanandoa wote wanaothamini ndoa zao
Hongera ila umetuficha small house wako. Au mama yupo JF?Wanabodi tarehe kama ya leo miaka minne iliyopita sitaishau kwenye maisha kwani ni siku niliyofunga ndoa na mke wangu mpendwa mrs Kurunzi nakumbuka ni mwaka mmoja baada ya kuwa member kamili hapa bodini.
Munguu mkuu katika miaka hiyo mnne tumebarikiwa kupata watoto wawili a girl 4yrs and a boy 1.5yrs.
Hongera ila umetuficha small house wako. Au mama yupo JF?
Hongera Mkuu pamoja sana endelea kumpenda mke wako sana pia muwalee watoto wenu vema. Mungu awe nawe na familia yako. Kumbuka kumshukuru Mungu kwa sadaka.
Pia aache marinda intacthongera, baki njia kuu ya mama kurunzi michepuko sio dili.