umeona eeh, kama huna information ya ukweli jst shut up watu tupo serious na kama unayo tena ya uhakika bc FUNGUKA
sio kupost tu ilimradi uonekane umepost
kama tangazo lako ni la uongo mi naomba jf iwachukulie hatua za kisheria, watu tuko serious nyie mnaleta utani. tajeni ofisi zenu ziko wapi mi naomba kabla tangazo la kazi halijawekwa lipitiwe kwanza na viongoz wa jf na ijulikane ni kweli ndo liwekwe.
Ninasikia njaa kila baada ya saa moja, baada ya kumaliza kula chakula, nimekunywa dawa za minyoo haijanisaidia, naombeni mnisaidie maana maisha na bajeti ya sasa hayaendi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.