Dah nimeshahau simu za Blackberry na Nokia,tokea Samsung washike soko,naona urasimu wa BB wa kutaka kulipia BIS kwa mwezi Tsh 35,000 kupata huduma ya internet au hizo weekly bundle zao kunawakimbiza wengi ,pamoja na kuwa inapokuja swala la emails BB hawana mshindani
mkuu tigo service elfu 20 tu kwa mwezi. .