Recent content by NJOLO

  1. N

    Timu kubwa kubebwa na marefa waziwazi kutakuja kusababisha maafa makubwa nchini

    Mpira ni Biashara. Timu kubwa ndiyo zinaingiza pesa nyingi TFF na Serikali kwa njia ya kodi. Timu kubwa zinaibeba TFF kupitia njia ya mapato. Malipo kwa Timu kubwa ni kubebwa kwa kupewa upendeleo ili TFF waendelee kupata pesa za kuendesha ligi. Mchezaji kama Messi au Ronaldo hulindwa na marefa...
  2. N

    Mzee Dkt. Pius Ng'wandu (Waziri wa zamani) aoa mrembo

    Ikifika jioni Binti anataka kutoka kwenda kustarehe. Ikifika jioni mzee anatamani kwenda kulala na hata akijitahidi kutoka na Binti ataishia kwenda kusinzia. Kimapenzi, huyu mzee amekuwa zero grazing wakati binti anaweza kutafuta malisho ya mbali. Kifupi ni kuwa huyu mzee ametaka kufupisha...
  3. N

    Tafadhali Anne Makinda jihadhari kwani Pius Msekwa si saizi yako. Msekwa katumia usomi kusema akina Halima Mdee wamefutwa Ubunge

    Uongo au makosa ya mkubwa yana maana zaidi kuliko ukweli au usahihi wa mdogo. The Boss is always right. Kwa mantiki hii Mama Makinda anaweza kukosolewa na mtu wa haiba yake au zaidi ikaleta maana. Aliyeleta mada hii tunaomba CV yake tafadhali vinginevyo hakuna sababu ya kuchangia.
  4. N

    Nahisi nina tatizo la kisaikolojia, linaniathiri kwenye ngono

    Kamuulize mshikaji wako ambaye alikuwa anakupenda sana na ulimwahidi mambo makubwa lakini baadaye ukamtelekeza. Hii ipo sana na inahusiana na nguvu za giza. Kama Dr wa Binadamu hatagundua chochote basi umechezewa na wanawake unaotembea nao ovyo ovyo kwa kuwadanganya.
  5. N

    Hulka ya mwanataaluma

    Mchezaji wa mpira, furaha yake ni kufunga magoli. Huyu anajipenda mwenyewe. Furaha wa kiongozi wa dhehebu lolote la dini ni kupata waumini wengi. Huyu anawajali watu kama kipao mbele. Furaha ya Daktari wa binadamu ni kuona mgonjwa wake anapoma. Huyu anamjali mtu. Kicheko cha Mwanasheria ni...
  6. N

    Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

    You can build power generating dams, railway lines, bridges tarmac roads, big buildings etc. But if you can not build peace and harmony those structures will be destroyed and demolished in a day by the same people you worked for them. If what you are doing now will not be consistently applies...
  7. N

    5 Daily habits every one should do to live longer

    Three enemies which make a person fail to control and practice the phenomenal mention. 1. Alcohol 2. Anger 3. Prestige. These three things , in fact, destroy a human being completely regardless of obeying the factors mentioned.
  8. N

    GE2020 Dkt. Magufuli: Nikimaliza urais, nitaoa mwanamke wa pili Zanzibar

    Msukuma kwa asili anapenda sana wanawake, hasa weupe, wanene na warefu. Wingi wa ng'ombe unaendana na rangi ya mwanamke. Kwao msukuma kuzaa watoto wa kike wengi wazuri na weupe wa rangi ni utajiri.
  9. N

    GE2020 Nimefurahi sana Mke wa Lissu yuko vizuri mno kunadi CHADEMA kuliko mumewe Lisu, Chadema mpeni aongoze kampeni

    Tukumpuke. Uchaguzi wa mwaka 2010, Mh. Kikwete alifanya kampeni za kuomba kura yeye na mke wake tu na alishinda. Mama Salma alikuwa vizuri sana katika kuomba kura kwa ajili ya mme wake. Sasa tusimlinganishe Mke wa Tundu Lissu na Lissu mwenyewe bali tumlinganishe Mke wa Tundu Lissu na Mke wa...
  10. N

    GE2020 Kufungiwa Lissu kwa siku 7 ni ‘advantage’ kubwa sana kwake

    Kuna wakati Hayati Mwalimu Nyerere alisema. Mtu wa kawaida akimpiga mke wake si habari muhimu (not worth writing). Lakini RAIS wa Inchi akimpiga mke wake ni habari (it is worth writing). Viongozi wa juu wa Inchi kumsakama Lissu ni kumpa umaarufu Tanzania na Dunia kwa Ujumla (it worth writing)...
  11. N

    Changamoto za malezi ya watoto wa kike

    Jengo mahusiano mazuri na Binti ili akupende. Wewe mwenyewe uwe na tabia njema. Jitahidi kadri ya uwezo wako kumpatia binti mahitaji muhimu tu. Usimuzoeze binti kumpa pesa nyingi. Mfundishe binti muda mwingi kufanya kazi za nyumbani. Mwepushe Binti na marafiki wa kike ambao ni Malaya. Baada ya...
  12. N

    GE2020 Tofauti ya Edward Lowassa wa 2015 na Tundu Lissu wa 2020

    LOWASA tuliyemwona mwaka 2015 wakati wa uchaguzi siyo Lowasa wa 2005 wakati wa uchaguzi. Baada ya uchaguzi wa 2005 aliteuliwa kuwa Waziri mkuu na akawa maarufu na wa kuogopwa ndani ya Serikali na ndani ya chama na hata bungeni. Akawa maarufu kuliko Rais hadi alIpopata ajali ya Kisiasa na...
  13. N

    GE2020 Lushoto, Tanga: Wananchi wamkataa na kumfukuza mgombea wa CCM, Shabani Shekilindi (Boznia)

    Interlectual capacity, vast knowledge tactically and tentatively , Tanzanian come to concrete, definite and profound conclusion that, We are like Children who are being brought up under tough environment by hard working Dad for our future benefit. Waheshimwa Wabunge, Mawaziri, Waziri Mkuu na...
  14. N

    GE2020 Matatizo ya CCM kama chama yangevumilika, Magufuli havumiliki huo ndio ukweli

    Mnyonge tumnyonge lakini haki yake tumpe. Kulingana na taaluma yake kama Mwanasayansi, amefanya yale ambayo mwanasayansi anatakiwa kufanya. Siku zote Mwanasayansi anajali kujenga, kuunda, kugundua, kutafiti nk. Haya ndiyo anayoyafanya. Mafanikio ya Mwanasayansi ni ya Vitu na si Watu. Lakini...
  15. N

    GE2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi na Mkutano Mkubwa wa hadhara wa Tundu Lissu Mjini Bukoba

    Overnight success comes after 15 years. Lissu aliutafuta UBUNGE wa Singida Mashariki kwa miaka 15. Kama atakuwa mvumilivu kama alivyokuwa mvumilivu kwenye kuutafuta ubunge, haitachukua zaidi ya awamu mbili kuupata urais. Hayati mwalimu Nyerere aliwahi kusema huko nyuma. "Jakaya Kikwete anafaa...
Back
Top Bottom