YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Nimemsikiliza mke wa Lisu kila anapopewa nafasi kwenye mikutano ya kampeni yuko vizuri mno kwenye kunadi Sera.
Kwanza katulia hasa HIGHLY COMPOSED. Hana jazba na ana pointi
Huyu ndie CHADEMA wangemchagua ugombea uraisi. Ni vizuri wampe kazi ya kuongoza kampeni kwenye kuhutubia yeye ndie awe mhutubiaji mkuu
Msikilize mwenyewe hapa akimwaga pointi mimi kama CCM nampongeza mno
Kwanza katulia hasa HIGHLY COMPOSED. Hana jazba na ana pointi
Huyu ndie CHADEMA wangemchagua ugombea uraisi. Ni vizuri wampe kazi ya kuongoza kampeni kwenye kuhutubia yeye ndie awe mhutubiaji mkuu
Msikilize mwenyewe hapa akimwaga pointi mimi kama CCM nampongeza mno