Recent content by Njiwadume

  1. Njiwadume

    Namna Juice ya Embe inavyotengenezwa bila Maembe yenyewe, Tunakunywa Chemical nyingi Mnoo

    Sio rahisi kukwepa kemikali kwenye vyakula vya kusindika viwandani
  2. Njiwadume

    Haya majina ya vitu kwa kiingereza wengi hawafahamu

    chapati zitaitwaje kwa hiyo lugha?
  3. Njiwadume

    Msaada tafadhali kuhusu afya ya mke wangu

    inawe inawezekana ilikuwa kawaida au haikuwa kawaida kwani zilitumika njia kadhaa kama ifuatavyo: >hospitali walikuwa wanasema ni kawaida ujauzito siku za mwanzo huwa unapambana kujishikiza kwenye mji wa mimba...jambo hili huleta usumbufu kiafya kwa mjamzito na anapaswa kupumzika vya kutosha...
  4. Njiwadume

    Msaada tafadhali kuhusu afya ya mke wangu

    nashukuru kwa utayari wako ...Namshukuru Mungu kwani alipona na alijifungua mtoto salama ..ingawa miezi mitatu ya mwanzo wa ujauzito ilikuwa changamoto sana
  5. Njiwadume

    Marehemu Captain G Habash aliwahi sema binti yake ataolewa na tajiri tu

    sio mbaya kwa yeye kusema hivo ..alitambua jinsi gani umasikini unavyodhalilisha na kushusha heshima ya mtu ..hata wanawake wanalijua hilo kuwa kuolewa na mtu masikini ni kama ajali..
  6. Njiwadume

    Unafahamu Nini kuhusu chumvi?

    chumvi inamanufaa mengi zaidi lakini wafanyabiashara wako bize na sukari.
  7. Njiwadume

    Anataka tuachane na tayari nimekwishalipa mahari kwao na mipango ya ndoa ipo

    ni heri ushukuru tu amekuwa mkweli kwako...kama ni mtu wa kujichanga kiuchumi ni vema umwambie tu sasa apambane kuweka mambo sawa yeye na wazazi wake wakurudishie hiyo mahali..
  8. Njiwadume

    Yemen wamjibu Netanyahu kuwa ipo tayari kwa vita na Israel na Marekani

    tatizo mataifa mengine yanalenga tununishiana misuli na marekani bila kujua mareni analenga nini ..wakati marekani anazingatia faida atakayopata endapo akipigana na taifa fulani ...wamarekani wakuda sana wakiiona fursa hawasubiri kuchokozwa watatafuta chokochoko zozote ilimradi wapigane
  9. Njiwadume

    Bank tellers ni wezi wa kimya kimya, kuweni makini

    wakati mwingine huwa ni kuogopa au kupuuzia ..lakini teller akicheza na pesa za mteja ni rahisi sana kumdaka..
  10. Njiwadume

    Wadau kwani nyie huwa mnatumia mbinu gani kuwakimbia wake zenu

    komaa nae tu hivo hivo atachoka atazoea..
  11. Njiwadume

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    betpawa wanashida gani mbona wameanza kuondoa option ya double chance hadi kwenye mechi za 50% ………50%
  12. Njiwadume

    Hassan Mwakinyo ndio bora wa wakati wote hapa Tanzania. Wabongo wanataka kumshusha

    mwakinyo ni bondia mzuri kweli ..lakin kwenye hiyo kesi amezingua...
  13. Njiwadume

    Nashindwa kuielewa tabia ya huyu dada kwangu mimi!

    asee huyo muhudumu atakuwa na tatizo...lakini kwa kuwa ni mwanamke jaribu kumdadisi utajua tatizo lake ..kwanini akiombwa namba aseme yeye ni mke wa mtu..anajua wewe shida yako ni kugusa unyevu tu na inawezekana ameshakutamani
  14. Njiwadume

    Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

    duuh.. vile vishule vya masister kwa namna vilivyo vya kikuda eti mwalimu wa kiume aweze kufika na kuingia kwenye bweni la watoto wakike.! tena na kumnyundia mwanafunzi bwenini..!..anyway .ester ni veteran yani kwenye game kitambo huyo..maelezo yake yanautata
  15. Njiwadume

    Mwanafunzi Esther wa Panda Hill aliyepotea kwa siku 35 amepatikana, yadaiwa alitoroshwa na mchoma mkaa

    Sasa ester yani hadi pm katoa agizo utafutwe kumbe upo pahala unatimiza haja ya mwili wako jamani.?
Back
Top Bottom