Msaada tafadhali kuhusu afya ya mke wangu

Njiwadume

Senior Member
Jun 13, 2020
137
342
Wakuu habari zenu, naomba msaada, ni kuhusu tatizo alilonalo mke wangu.

Ana ujauzito wa takribani wiki 7 tatizo lake nikwamba anusumbuliwa na tumbo sana eneo la kuzunguka kitovu, hata baada ya kula kidogo tu anahisi maumivu ya tumbo sana, tatizo hili liliwahi kutokea na kupelekea ujauzito kuharibika na sasa limeanza mapema tu baada kupata ujauzito hadi napata hofu.

Nilipompeleka hospitali nilijibiwa kuwa ni dalili za kawaida kwa mjamzito na anapaswa kupunguza kazi ngumu na apate muda wa kutosha kupumzika, lakini anaweza kuwa amejilaza siku nzima lakini tumbo likaanza kumsumbua hadi analia sana.

Naomba kwa anaefahamu tatizo hili anisaidie tafadhali.
 
Wakuu habari zenu, naomba msaada, ni kuhusu tatizo alilonalo mke wangu.

Ana ujauzito wa takribani wiki 7 tatizo lake nikwamba anusumbuliwa na tumbo sana eneo la kuzunguka kitovu, hata baada ya kula kidogo tu anahisi maumivu ya tumbo sana, tatizo hili liliwahi kutokea na kupelekea ujauzito kuharibika na sasa limeanza mapema tu baada kupata ujauzito hadi napata hofu.

Nilipompeleka hospitali nilijibiwa kuwa ni dalili za kawaida kwa mjamzito na anapaswa kupunguza kazi ngumu na apate muda wa kutosha kupumzika, lakini anaweza kuwa amejilaza siku nzima lakini tumbo likaanza kumsumbua hadi analia sana.

Naomba kwa anaefahamu tatizo hili anisaidie tafadhali.

Habari,

Kwa suala hili ni vyema kumwona daktari bingwa wa magonjwa ya akinamama. Hapo utatoa historia kamili, amkague mama na muomba vipimo kwa kadri ataona inafaa.

Pia historia ya ujauzito uliopita inaweza kujenga hoja ya kinachoendelea au la.

Baada ya hapo ataeleza tatizo ni nini na nini kifanyike.
 
Wakuu habari zenu, naomba msaada, ni kuhusu tatizo alilonalo mke wangu.

Ana ujauzito wa takribani wiki 7 tatizo lake nikwamba anusumbuliwa na tumbo sana eneo la kuzunguka kitovu, hata baada ya kula kidogo tu anahisi maumivu ya tumbo sana, tatizo hili liliwahi kutokea na kupelekea ujauzito kuharibika na sasa limeanza mapema tu baada kupata ujauzito hadi napata hofu.

Nilipompeleka hospitali nilijibiwa kuwa ni dalili za kawaida kwa mjamzito na anapaswa kupunguza kazi ngumu na apate muda wa kutosha kupumzika, lakini anaweza kuwa amejilaza siku nzima lakini tumbo likaanza kumsumbua hadi analia sana.

Naomba kwa anaefahamu tatizo hili anisaidie tafadhali.
Nasikitika kukuambia watu wengi tanzania tunaugua magonjwa sugu sababu ya majibu kama hayo toka kwa madaktari.
kwa kuwa nchi hii ni kubwa,tafuta hospital hata za wakorea au wachina upate tiba.
 
Nilipompeleka hospitali nilijibiwa kuwa ni dalili za kawaida kwa mjamzito na anapaswa kupunguza kazi ngumu na apate muda wa kutosha kupumzika, lakini anaweza kuwa amejilaza siku nzima lakini tumbo likaanza kumsumbua hadi analia sana.
Rejea ujumbe wa Lukonge hapo juu, Ni muhimu sana.

Nyongeza,
Iwapo unamplekeka hospitali, Hakikisha unaenda kwenye hospitali kubwa za wilaya, Sababu kwenye hizi Hospitali Huwa kuna madakrari wazoefu wa muda mrefu sana, hivyo utapata msaada na ushaurri stahitiki. 👇 Hautokutana na jibu jepesi kama hili.👇
Nilipompeleka hospitali nilijibiwa kuwa ni dalili za kawaida kwa mjamzito
===
Pia soma haya maelezo(Majibu ya mada yako toka AI ): | Ila swala la kwenda kwa Daktari /Hospitali liko pale Pale.
=
1. As an expectant mother of around seven weeks, I was suddenly struck by a severe stomachache in the area of my abdomen. This condition had been occurring for some time, and it had started to get worse
=
2. As an expectant mother of around seven weeks, I was suddenly struck by a severe stomachache in the area of my abdomen. This condition had been occurring for some time, and it had started to get worse
 
Wakuu habari zenu, naomba msaada, ni kuhusu tatizo alilonalo mke wangu.

Ana ujauzito wa takribani wiki 7 tatizo lake nikwamba anusumbuliwa na tumbo sana eneo la kuzunguka kitovu, hata baada ya kula kidogo tu anahisi maumivu ya tumbo sana, tatizo hili liliwahi kutokea na kupelekea ujauzito kuharibika na sasa limeanza mapema tu baada kupata ujauzito hadi napata hofu.

Nilipompeleka hospitali nilijibiwa kuwa ni dalili za kawaida kwa mjamzito na anapaswa kupunguza kazi ngumu na apate muda wa kutosha kupumzika, lakini anaweza kuwa amejilaza siku nzima lakini tumbo likaanza kumsumbua hadi analia sana.

Naomba kwa anaefahamu tatizo hili anisaidie tafadhali.
Cha kwanza kabisa kama hana bima ya nhif basi jitahidi ukate ya NHIF.
NENDA MUHIMBILI KIONGOZI.
Kama umeenda hospitali ya wilaya basi omba transfer muhimbili
 
Wakuu habari zenu, naomba msaada, ni kuhusu tatizo alilonalo mke wangu.

Ana ujauzito wa takribani wiki 7 tatizo lake nikwamba anusumbuliwa na tumbo sana eneo la kuzunguka kitovu, hata baada ya kula kidogo tu anahisi maumivu ya tumbo sana, tatizo hili liliwahi kutokea na kupelekea ujauzito kuharibika na sasa limeanza mapema tu baada kupata ujauzito hadi napata hofu.

Nilipompeleka hospitali nilijibiwa kuwa ni dalili za kawaida kwa mjamzito na anapaswa kupunguza kazi ngumu na apate muda wa kutosha kupumzika, lakini anaweza kuwa amejilaza siku nzima lakini tumbo likaanza kumsumbua hadi analia sana.

Naomba kwa anaefahamu tatizo hili anisaidie tafadhali.
Ni kawaida kweli hawajatania.
Mwambie tu apate muda mwingi wa kupumzika .
 
Wakuu habari zenu, naomba msaada, ni kuhusu tatizo alilonalo mke wangu.

Ana ujauzito wa takribani wiki 7 tatizo lake nikwamba anusumbuliwa na tumbo sana eneo la kuzunguka kitovu, hata baada ya kula kidogo tu anahisi maumivu ya tumbo sana, tatizo hili liliwahi kutokea na kupelekea ujauzito kuharibika na sasa limeanza mapema tu baada kupata ujauzito hadi napata hofu.

Nilipompeleka hospitali nilijibiwa kuwa ni dalili za kawaida kwa mjamzito na anapaswa kupunguza kazi ngumu na apate muda wa kutosha kupumzika, lakini anaweza kuwa amejilaza siku nzima lakini tumbo likaanza kumsumbua hadi analia sana.

Naomba kwa anaefahamu tatizo hili anisaidie tafadhali.
Nitafute NIKUSAIDIE
 
inawe
Ulifanyaje akapona inaweza saidia na wengine au ilikuwa kawaida kama walivyosema madaktari?
inawezekana ilikuwa kawaida au haikuwa kawaida kwani zilitumika njia kadhaa kama ifuatavyo:

>hospitali walikuwa wanasema ni kawaida ujauzito siku za mwanzo huwa unapambana kujishikiza kwenye mji wa mimba...jambo hili huleta usumbufu kiafya kwa mjamzito na anapaswa kupumzika vya kutosha wanaita bedrest tena wakaniomba nisimfanyie matibabu yoyote bila kupata ushauri kutoka kwao..yani hata akapata mafua nisimpe dawa hadi niwaone wao...NILIZINGATIA HILO

>wazungu wanasema old is gold na sisi tunasema utu uzima ni dawa..kwa ushirikiano wa kutoka familia yake yaani wazazi wake na familia yangu walijitahidi kukutafuta dawa za miti shamba kwakweli alitumia dawa ingawa sijui ilikuwa ni miti gani..alikuwa anachemsha anakunywa.niliamini kiasi kwakuwa aliwahi kuniambia bibi yake alikuwa ni mkunga wa jadi na alikuwa anafahamu ABC za mitishamba kwahiyo nikajua lazima na familia itakuwa inafahamu kiasi dawa mbalimbali


ilimchukua miezi miwili kuwa sawa lakini alikwa kakonda sana kutokana na tatizo lilikuwa linamfanya ashindwe kula kwani chakula.
sasa sijui aliponeshwa na miongozo ya madaktari au miti shamba.
 
inawe
inawezekana ilikuwa kawaida au haikuwa kawaida kwani zilitumika njia kadhaa kama ifuatavyo:

>hospitali walikuwa wanasema ni kawaida ujauzito siku za mwanzo huwa unapambana kujishikiza kwenye mji wa mimba...jambo hili huleta usumbuku kiafya kwa mjamzito na anapaswa kuumzika vya kutosha wanaita bedrest tena wakaniomba nisimfanyie matibabu yoyote bile kupata ushauri kutoka kwao..yani hata akapata mafua nisimpe dawa hadi niwaone wao...NILIZINGATIA HILO

>wazungu wanasema old is gold na sisi tunasema utu uzima ni dawa..kwa ushirikiano wa kutoka familia yake yaani wazazi wake na familia yangu walijitahidi kukutafuta dawa za miti shamba kwakweli alitumia dawa inagwa sijui ilikuwa ni miti gani..alikuwa anachemsha anakunywa.niliamini kiasi kwakuwa aliwahi kuniambia bibi yake alikuwa ni mkunga wa jadi na alikuwa anafahamu ABC za mitishamba kwahiyo nikajua lazima na familia itakuwa inafahamu kiasi dawa mbalimbali


ilimchukua miezi miwili kuwa sawa lakini alikwa kakonda sana kutokana na tatizo lilikuwa linamfanya ashindwe kula kwani chakula.
sasa sijui aliponeshwa na miongozo ya madaktari au miti shamba.
Noted 😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom