Makamu wa Askofu wa Jimbo katoliki la Mtwara amekanusha hiyo habari.
"Ni upuuzi,upotoshaji na kukosa weledi. Mpaka sasa na tarehe tajwa hakuna Padri wa Jimbo la Mtwara aliyefariki. Aidha hakuna Padri mwenye jina la Laurence Millanzi katika jimbo la Mtwara.Ni taarifa inayomfurahisha mwandishi...
Point yangu ni kuwa may be all government transactions now itakuwa through this new bank. Manake NMB walibebwa sana na government transactions
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishawahi kukatazwa na dealer wa Toyota kutumia injector cleaner,yeye alisema once ukianza basi inatakiwa utumie kila unapojaza mafuta hasa kwa kuwa filling station nyingi kwa bongo zinauza mafuta machafu (ambapo sikumuelewa kwa kweli)
1. Je, kuna ukweli katika hilo?
2. Nikiweka mafuta kwenye...
8. Idara gani kwa hapa Tanzania inahusika na ukamataji nyoka,hasa wenye sumu? Na huchukua muda gani mpaka wafike eneo la tukio? Apart na chatu,sijawahi ona idara ya wanyamapori au yoyote ikija kukamata nyoka/kufukuza
Ndugu sio dini tu,tawala zetu za kiafrika hii kitu ilikuwa halali kabisa,soma kuhusu zulu,Manka Mussa,Buganda,Nyamwezi,Hehe(Mkwawa). By the way,wamisionari wa kwanza east africa makanisa yao yalianza kupata waumini kwa wao kununua watumwa hasa maeneo ya Zanzibar,Bagamoyo na Ujiji na kuwafanya...
Ni uoga ndugu,kuogopa kuongea lugha ya asili yenu! Ni sawa na ukiwa Hamburg ushindwe kuongea Kiswahili na mbongo mwenzio bali unataka uongee kijerumani. Hapo ulipo una asili yenu kwa maana ya kabila,hata kama huna asili ya Tanzania,lakini asili yako unayo.Ndo maana wasomali wabongo wanatwanga...
Kwa uzoefu wangu,solar pump ni nzuri,nyepesi,na haina running cost. Tatizo lipo kwenye gharama wakati wa kununua,as you said angalau una uzoefu kwenye kilimo najua haitakupa shida. Kuna hawa jamaa wa Davis & Shirtliff wapo Arusha karibu na Posta Meru,pitia pale kama window shopping tu. Wanazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.