King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,933
- 95,302
Gharama za Solar ya kuvuta Maji ya kisima cha 100m ni kubwa sana.
Hongera mkuu,Huko kwenye bustani za nyuma ya nyumba nilishatoka zamani sana. Anyway tuachane na hayo. Mdau alishasema unachomwambia anunue tayari anacho, anataka kuangalia altenative nyingine! Inamaana ameshaona faida na hasara za diesel power gen, ameopt solar kwa sasa!
Yote ni mapambano tu mkuu, wengine mazao tunayolima kutumia hiizo njia za umwagiliaji inakuwa haina maana, bado tunakomaa huenda tukaweza kuaford ma center pivot overhead sprinkler systems kama tutaendelea kuwa wazima.Hongera mkuu,
Mimi nina vijiheka 10 vyote nimefunga drip.
Kuna mahesabu napiga nikimaliza nitakushauri vizuri- Kisima kina urefu wa 100 meter, kama sijakosea kwa kipimo hapo.
-Eneo langu lina ukubwa wa heka 17, but project yangu itaanza na like 5 heka , na mostly nimelenga pia katika kutengeneza bwawa la samaki , la kama vifaranga 1000 hivi, ( biashara ikiwa nzuri itapanuka zaidi,
-Hvo nahitaji niweze angagalu kumwagilia heka 2-3 kwa siku,
-Uzuri wa hii solar power water pamp , inaweza kuwasha umeme pia maana bado umeme upo mbali kiasi , kwa kipindi hichi almost 3 km kufika shambani kwangu.
- Nina pampu zingine za diesel , but kwa sasa ningependa kujua kuhusu solar power,
- Nimekuwa interested na solar power sababu nimeona kuna mradi wa kijijini kwetu unavuta maji na kusambaza kwa almost vijiji 3, na bado unatoa nishati ya mwanga , huu uliwekwa na wajerumani ilikuwa msaada, hivo sina contact nao, walishaondoka.
Regards
Kama unahitaji kumwagilia heka 3 kwa siku then unahitaji pump ambayo itaweza kupumpu lita elf 20 kama utakuwa umelima vitunguu kwa mfano.Kuna mahesabu napiga nikimaliza nitakushauri vizuri
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dahhhAcha story nyingi, mwenzako ameshasema shambani tayari anayo generator ya Diesel lakini sasa hivi anahitaji solar water pump. Mwenzako yuko field, wewe uko nyuma ya keyboard!
Kwa uzoefu wangu,solar pump ni nzuri,nyepesi,na haina running cost. Tatizo lipo kwenye gharama wakati wa kununua,as you said angalau una uzoefu kwenye kilimo najua haitakupa shida. Kuna hawa jamaa wa Davis & Shirtliff wapo Arusha karibu na Posta Meru,pitia pale kama window shopping tu. Wanazo pump za sola nzuri lakini ghali,bei inategemea kisima chako kinatoa lita ngapi kwa saa then wanakushauri ipi itafaa,nadhani zinaanzia Tsh 3 m up to 10,pia waweza enda pale Gadgetronix wanazo baadhi pia. Hongera kwa kuwa mkulima na karibu chamaniHeloo wadau, nina project yangu ya kilimo na ufugaji katika mkoa wa kilimanjaro, sasa nauliza iwapo naweza pata kampuni inayohusika na kufunga mashine za kuvuta maji kutoka katika visima vilivopo shambani ,
nahitaji ushauri na wenye kuhusika na hilo.
mawasiliano 0767328063
nahitaji nami shamba mkuu waweza kuniiuzia hata heka 3 hiviHongera mkuu,
Mimi nina vijiheka 10 vyote nimefunga drip.