Recent content by Njaba

  1. Njaba

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    Au nipigie nikupe maelekezo 0653921339
  2. Njaba

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    Masomo mengine umepata je? Kuwa muwazi naweza kukusaidia
  3. Njaba

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    Me nakushauri asome ufundi umeme katika vyuo vya maendeleo ya jamii...any question ni pm
  4. Njaba

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    Mitihan inayofanyika ni mitihani ya veta
  5. Njaba

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    Kipo wilaya ya Muheza tanga. Kinatoa kozi zifuatazo. Umeme Mifugo na kilimo ujenzi uselemala upishi na upambaji ushonaji
  6. Njaba

    Wanaojua kuhusu utumishi

    Habar zenu wadau. Jumamosi nilifanya usaili pale mwalimu nyerere. Maelekezo tuliopewa ni kwamba usaili wa mazungumzo ni tarehe 10/06. Lkn mbona majina ya waliofaulu usaili wa kuandika hayajatoka mpaka sasa. Mwenye uzoefu anijuze plz. wanatoaga majina muda gani?
  7. Njaba

    Daah wana jf weekend imekuwa mbaya kwangu

    Nadhan Nicas, Msagasumu,Miss chaga na mtafiti mtakuwa mmenielewa. For any question don't hesitate to ask me. Marvelous weekend.
  8. Njaba

    Daah wana jf weekend imekuwa mbaya kwangu

    Wana jf naomba mnielewe..kipepeo mweusi alilog in kwa cm yangu akapost yaliyomkuta leo, alivyomaliza kupost mimi njaba nikachukua cm yngu nikalog in kwa id yangu. Baada ya hapo akatembelea thread yake kuona kama kuna ushauri wowote aliopewa. So akareply post alizotumiwa bila kulog out id yangu...
  9. Njaba

    Daah wana jf weekend imekuwa mbaya kwangu

    sa nicas unanicheka au????
  10. Njaba

    Daah wana jf weekend imekuwa mbaya kwangu

    njaba she iz ma csta...
  11. Njaba

    Daah wana jf weekend imekuwa mbaya kwangu

    Njaba id ni ya csta ambae nae yupo humu.
  12. Njaba

    Daah wana jf weekend imekuwa mbaya kwangu

    Tatizo hamjaona ndo mana mnasema hivyo!! cjapendezwa ila nimshangao wa lile gegedeo ndilo limenifanya niingie humu jf, na alivyonipigia cm aliniambia shida tofauti na alichotaka kukifanya..na sijawahi kukutana nae kimwili! mi hapa kinachoniumiza haswaa ni cm yangu dah
  13. Njaba

    Daah wana jf weekend imekuwa mbaya kwangu

    Hahahaaaa.......kaaaaaaz kwelikwel
  14. Njaba

    Kipi unajivunia kwa mpenzi wako wa zamani?

    alinikuta nipo under18 lakin nilikuwa cna elimu yoyote nilikuwa standard7
  15. Njaba

    Kipi unajivunia kwa mpenzi wako wa zamani?

    Nikikuwa pure standard seven... byb akanishaur nisome qt. Now are dayz nipo na dip ya procurement. Sasa cpo nae tena.
Back
Top Bottom