Daah wana jf weekend imekuwa mbaya kwangu

Daah wana jf weekend imekuwa mbaya kwangu

We ni msanii wa bongo movie,kwani una ID ngapi?bila shaka we ni yule -------- wa storybza kutunga,kafie mbele huko.

Ya kukutana leo leo iwe chumbani tena kwa maongezi ya kawaida tuu,kweli anatufanya sisi watoto


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tatizo hamjaona ndo mana mnasema hivyo!! cjapendezwa ila nimshangao wa lile gegedeo ndilo limenifanya niingie humu jf, na alivyonipigia cm aliniambia shida tofauti na alichotaka kukifanya..na sijawahi kukutana nae kimwili! mi hapa kinachoniumiza haswaa ni cm yangu dah

mbona hueleweki? Alitaka kula mzigo wakati uko periodi? Si ungemwambia subiri nimalize periodi nitakupa ili kama hutaki usirudi sasa simu na begi umeviacha vya nini?
 
Wana jf naomba mnielewe..kipepeo mweusi alilog in kwa cm yangu akapost yaliyomkuta leo, alivyomaliza kupost mimi njaba nikachukua cm yngu nikalog in kwa id yangu. Baada ya hapo akatembelea thread yake kuona kama kuna ushauri wowote aliopewa. So akareply post alizotumiwa bila kulog out id yangu ambayo ni njaba..kipepeo mweusi ni msichana na mimi pia. Hope mtakuwa mmenielewa jamani.
NB: KUMBUKENI KIPEPEO MWEUSI AMEACHA CM YAKE KWA YULE JAMAA.
 
sa umekimbia nini na una xcusr.huyo ungemtoroka kisilencer.we vp.ungeaga baby nikimaliza period naja.pole mpenz.wait for me
 
Nadhan Nicas, Msagasumu,Miss chaga na mtafiti mtakuwa mmenielewa. For any question don't hesitate to ask me. Marvelous weekend.
 
Inaonekana unajutia kuwa period..nadhani usingekuwa period habari ingekuwa nyingine.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Tatizo hamjaona ndo mana mnasema hivyo!! cjapendezwa ila nimshangao wa lile gegedeo ndilo limenifanya niingie humu jf, na alivyonipigia cm aliniambia shida tofauti na alichotaka kukifanya..na sijawahi kukutana nae kimwili! mi hapa kinachoniumiza haswaa ni cm yangu dah

njaba she iz ma csta...

Mnakera nyie watu wa multiple ID!!Sasa kama ni your sister,kwa hiyo ulienda naye kushuhudia huo mgegedo?Au ulienda kumshikia miguu huyo bazazi amgegede vizuri huyo sister wako?!P.U.M.B.A.V.U Njaba na kipepeo mweusi
 
Last edited by a moderator:
natamani kuona posts zako ukitimiza miezi 6, daaaah!
 
Back
Top Bottom