Recent content by Nivlek Mboya

  1. Nivlek Mboya

    Msaada juu ya maswala kadhaa katika biashara ya vipodozi

    Una mawazo mazuri sana, kwanza kabisa mimi ni muhitimu wa chuo kikuu SUA 2020, Niko Iringa kibiashara, nilianza na urembo na sasa nina Ofisi ya Vipodozi Urembo namaanisha vitu kama hereni, lipstick, makeups, vioo, vitana n.k Vipodozi namaanisha lotion, mafuta ya mgando, spry, sabuni n.k...
  2. Nivlek Mboya

    Treasury Bonds/T-bonds/T-Bills/Bonds/Hati Fungani ni Uwekezaji "Kichaa"

    Sina hela ya kuweka akiba kwa zaidi ya mwaka mmoja, never and ever. Hua nafikiria jinsi ya kumultiply hela yangu siku zote hata kama ni elfu 1
  3. Nivlek Mboya

    Treasury Bonds/T-bonds/T-Bills/Bonds/Hati Fungani ni Uwekezaji "Kichaa"

    Kama wewe ni kijana nwenye akili timamu na nguvu za kufanya kazi ni bora ukafanya biashara kuliko kununua izo bonds Hizo ni kwa ajili ya wazee above 60, imagine mtu anakwambia ukiwekeza, unapata faida 12% kwa mwaka, mfano umewekeza 10M baada ya mwaka mmoja unapata 1.2M kama faida Ikiigawa iyo...
  4. Nivlek Mboya

    Aliowahi kutumia hii lotion

    Kwan shower gel ni nn?
  5. Nivlek Mboya

    Watumishi kuondolewa ghafla katika Zoezi la Sensa si uungwana

    Hapo kwenye mburasi sasa[emoji30][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  6. Nivlek Mboya

    Malipo ya sensa

    Huo ni uongoo[emoji30]
  7. Nivlek Mboya

    Naomba msaada kwa yeyote aliyekwisha fanya usaili wa kazi ya Sensa

    Nenda kwenye usaili hakuna swali la ajabu
  8. Nivlek Mboya

    SoC01 Namna ya kutengeneza kipato chako bila kujali elimu uliyo nayo. Any one can do this

    Andika tena broo those are changes, usiwe HEW[emoji30]
  9. Nivlek Mboya

    Nauliza bei ya ream Jumla

    Nasubiri jibu la hapa, pia huyo aliyesema kuna chimbo la 40500 ni dozen au zinakuaje?
  10. Nivlek Mboya

    Sokoine University of Agriculture (SUA) special Thread

    Kazuzuru MTH 210, ananong'ona na waliokaa mbele tuu[emoji1]
  11. Nivlek Mboya

    Lengo la kuwa na saving ya milioni 20 ifikapo mwaka 2022 mwezi Oktoba

    Haya mawazo ya mzee ambaye hana nguvu za kufikiri wala kufanya kazi. Achana na millioni 100 kutengeneza 800k. Kwa kijana mwenye nguvu za mwili na uwezo wa kufikiri vzri ukiwa na tsh mill 10 unaweza kutengeneza 1M net profit!
  12. Nivlek Mboya

    Waziri mkuu Majaliwa: Kuna sababu gani ya kupandisha bei ya mchele wakati tunalima hapa hapa nchini?

    Nilikua nauza kilo ya mchele kwa tsh 2000/= napata mche wa sabuni ya jamaa, Leo bei ya sabuni imepanda mpaka tsh 3000/=, kwa nn nisipandishe bei ili niweze ku accomodate kupanda kwa bei za bidhaa nyngne??
Back
Top Bottom