Una mawazo mazuri sana, kwanza kabisa mimi ni muhitimu wa chuo kikuu SUA 2020, Niko Iringa kibiashara, nilianza na urembo na sasa nina Ofisi ya Vipodozi
Urembo namaanisha vitu kama hereni, lipstick, makeups, vioo, vitana n.k
Vipodozi namaanisha lotion, mafuta ya mgando, spry, sabuni n.k...
Kama wewe ni kijana nwenye akili timamu na nguvu za kufanya kazi ni bora ukafanya biashara kuliko kununua izo bonds
Hizo ni kwa ajili ya wazee above 60, imagine mtu anakwambia ukiwekeza, unapata faida 12% kwa mwaka, mfano umewekeza 10M baada ya mwaka mmoja unapata 1.2M kama faida
Ikiigawa iyo...
Haya mawazo ya mzee ambaye hana nguvu za kufikiri wala kufanya kazi. Achana na millioni 100 kutengeneza 800k.
Kwa kijana mwenye nguvu za mwili na uwezo wa kufikiri vzri ukiwa na tsh mill 10 unaweza kutengeneza 1M net profit!
Nilikua nauza kilo ya mchele kwa tsh 2000/= napata mche wa sabuni ya jamaa,
Leo bei ya sabuni imepanda mpaka tsh 3000/=, kwa nn nisipandishe bei ili niweze ku accomodate kupanda kwa bei za bidhaa nyngne??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.