mtumishi askofu
Member
- Sep 8, 2021
- 29
- 35
Wakuu Mimi ni Kijana Mtanzania ninajishughurisha na kilimo cha mazao ya biashara siku za karibuni nimejikuta nanunua MBEGU Toka kampuni za ndani kigeni kama Toka India , Ufaransa , nk zina ubora ila baadhi ya MBEGU zinazozalishwa hapa nchini na kampuni za ndani nyingi hazina ubora .
Hivyo nimeona kuna fulsa ya kuanza kuzalisha MBEGU Mimi mwenyewe kwa ajiri ya kuziba pengo lililopo hasa upande wa MBEGU ya Mahindi, Alizeti , Maharage na Mtama
Rai yangu kwa mwenye kufahamu taratibu za kupata lesseni ya uzalishaji MBEGU anijuze pls JF ni msitu wa Maarifa
Hivyo nimeona kuna fulsa ya kuanza kuzalisha MBEGU Mimi mwenyewe kwa ajiri ya kuziba pengo lililopo hasa upande wa MBEGU ya Mahindi, Alizeti , Maharage na Mtama
Rai yangu kwa mwenye kufahamu taratibu za kupata lesseni ya uzalishaji MBEGU anijuze pls JF ni msitu wa Maarifa