Recent content by Nitaenda Misaa yaTatu

  1. Nitaenda Misaa yaTatu

    Matokeo ya watoto ni mazuri lakini hawajui kingine zaidi ya simu, katuni na kucheza games, wazazi huwa mnafikiria madhara yake ?

    Father Kwamba kwa sasa hawapaswi kuosha vyombo,kufua kupika na kufanya kazi zingine za nyumbani> Kwamba hawataoa wala kuolewa na wao kuwa wazazi? Hivi unafikiria maisha yake baada ya wewe kufa na kusimama yeye kama yeye? Yaani hata dukani kuuza humpeleki ategemee games na carttons tu...
  2. Nitaenda Misaa yaTatu

    Mange, Maria Sarungi na watetezi wa haki wote wasomewa Albadir!

    Ndg zetu waislamu wenye akili mbona mnawaruhusu hawa wajinga wachafue dini yenu kwa njaa zao?
  3. Nitaenda Misaa yaTatu

    Vijana, Kama Uwezo Upo Jengeni Nyumba za Kupangisha

    Father hata mimi nina wazo hilo watu wanapolombana lodge hunena dua njema.
  4. Nitaenda Misaa yaTatu

    Tanzania imeingia kwenye rekodi ya Dunia. Inakadiriwa Vifo 10,000 kwa masaa 72 sawa vifo 2 kwa dakika

    Father hapo jeshi ndo limekubali kuchezeshwa kila aina ya ngoma. Pia ni dalili ya wazi kuwa jeshi nalo lipo kwa ajiri ya ccm
  5. Nitaenda Misaa yaTatu

    Muziki sio safari nyepesi: Wasanii wengi huanziaga huku

    Wengine wakiweka rehani kinyeo chap tu wanakuwa mastaa
  6. Nitaenda Misaa yaTatu

    PostGE2025 Tukimalizana na Wasanii, wanaofuata ni Wachungaji na Makanisa yao ya kitapeli

    Wasanii wa Tz wanaharibu kizazi chetu Amber luty alijirekodi akifirwa Nandy nae alivujisha tupu zake Gigy money ... Uwoya...... wakiume wngi wao wametoboa pua kama sio wote basi ni mmoja au wawili tu. Wengi wao tetesi zinasema wanapumliwa okisijeni kisogoni mfano wa wazi wazi ni Ommy dimpoz toto...
  7. Nitaenda Misaa yaTatu

    Hivi kwanini hakuna mafundi wa earphones, chaji za simu na taa za umeme?

    Mimi situmii Eerphone hivi karibuni nikiwa safari nikahitaji kumsikiliza dada wa Taifa na ili nisiwe msumbufu kwa jirani yangu basi ikanibidi ninunue kwa wanauza stend. Ajabu aliniambia buku1 nikampa mpaka sasa ipo japo matumizi yaliishia kumsikiliza mange kimambi tu. Naju hadi sasa ni nzima...
  8. Nitaenda Misaa yaTatu

    Hakuna askari aliyebeba Bunduki!

    Shida ni kwamba mnawateka,mnawaua mnafila na kuwatesa hii ndio maana wanaishi uchochoroni
  9. Nitaenda Misaa yaTatu

    PostGE2025 Kuelekea D9 kuna sintofahamu inaendelea Tanganyika

    Kidogo aseme Guys GUYS Guys mke wangu ananitegemeaa GUYS
  10. Nitaenda Misaa yaTatu

    SI KWELI Video hii imerekodiwa Uyole mkoani Mbeya

    Father Kwani watu wa uyole wanasemaje
  11. Nitaenda Misaa yaTatu

    Mwanamke akikutishia mimba anakuwa anayo kweli

    Jamaa pesa anayo demu yupo vizuri tu kimwonekano wanauza mapikipiki
Back
Top Bottom